N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,528
Hii mashine ni ya ukweli sana both kwenye off roads na tarmac ni bahati mbaya tu kwamba watanzania wengi tunanunua magari kwa kuigana bila kufanya utafiti wa ubora... Mashine hii kwa utafiti wangu huwezi kuifananisha na Fortuner kwa mfano when it comes to off road trails maana Mitsubishi Shogun/Challenger ina historia ya off road tangu enzi na enzi wakati ule kwenye mashamba ya Mkonge na Chai kule Tanga, Luponde, Ambangulu na kwingineko Mitsubishi hasa Pajero walikuwa ndio wababe wa 4WD wakicheza sambamba na Suzuki.
Kwa mazingira ya barabara zetu nyingi za Tanzania...ambazo haziko tarmacked inafaa sana kuwa na mashine kama hii tofauti na Fortuner ambayo ni off road yes lakini uvumilivu wake I suspect unaweza usiwe sawa na mashine hii.
Briefly hii Shogun inafanana na Fortuner lakini hii iko more oriented kwa barabara mbovu na ina 4WD kali sana kwa mujibu wa review za wana humo online...kwa hiyo nashauri kama wewe ni mpenzi wa off road go for this beast hutajuta....halafu hebu nikutoe wasiwasi hakuna gari isiyotengenezeka siku hizi...zama zimebadilika nilishasema humu mara nyingi...spea unaweza kuzipata wakati wowote kwa online means au mubashara....
moja ya link muhimu za spea OG niliwahi kuwaeleza humu ambamo unaweza kuagiza spea zikakufikia within siku 15 tu ni MEGAZIP(watafute kwa jina hilo) hawa jamaa wana spea za kiwango sana na wanasambaza kwa manufacturers(under licence), retail na kwa jumla....sasa wewe ukitaka gari lolote agiza spea zipo pia makampuni yanayoleta magari kutoka ng'ambo yanasupply spea pia....so ruka agiza gari lolote ulipendalo achana na vishoka wanaodanganya watu humu online ooh eti hilo gari halitengenezeki...nani kasema!!...
Versions zote za hii ndinga ni kali kinyama! icheki hapo kisha uifananishe na Fortuner(ipo hapo kwenye picha juu kabisa) utasema...icheki vizuri ndani na nje uone...hapo kuna toleo la 2018 na la 2005 noma mwana!.... Hata hivyo kwa off road SUVs ambazo ziko juu na ninazozikubali Fortuner na huyu mnyama huwa naona wako juu ingawa ndugu yao Surf huwa namkubali kishingo upande...(MODS TAFADHALI MSIUNGANISHE HII SLEDI TUJADILI HAPA NA WANABODI KUHUSU OFF ROADS)
Kwa mazingira ya barabara zetu nyingi za Tanzania...ambazo haziko tarmacked inafaa sana kuwa na mashine kama hii tofauti na Fortuner ambayo ni off road yes lakini uvumilivu wake I suspect unaweza usiwe sawa na mashine hii.
Briefly hii Shogun inafanana na Fortuner lakini hii iko more oriented kwa barabara mbovu na ina 4WD kali sana kwa mujibu wa review za wana humo online...kwa hiyo nashauri kama wewe ni mpenzi wa off road go for this beast hutajuta....halafu hebu nikutoe wasiwasi hakuna gari isiyotengenezeka siku hizi...zama zimebadilika nilishasema humu mara nyingi...spea unaweza kuzipata wakati wowote kwa online means au mubashara....
moja ya link muhimu za spea OG niliwahi kuwaeleza humu ambamo unaweza kuagiza spea zikakufikia within siku 15 tu ni MEGAZIP(watafute kwa jina hilo) hawa jamaa wana spea za kiwango sana na wanasambaza kwa manufacturers(under licence), retail na kwa jumla....sasa wewe ukitaka gari lolote agiza spea zipo pia makampuni yanayoleta magari kutoka ng'ambo yanasupply spea pia....so ruka agiza gari lolote ulipendalo achana na vishoka wanaodanganya watu humu online ooh eti hilo gari halitengenezeki...nani kasema!!...
Versions zote za hii ndinga ni kali kinyama! icheki hapo kisha uifananishe na Fortuner(ipo hapo kwenye picha juu kabisa) utasema...icheki vizuri ndani na nje uone...hapo kuna toleo la 2018 na la 2005 noma mwana!.... Hata hivyo kwa off road SUVs ambazo ziko juu na ninazozikubali Fortuner na huyu mnyama huwa naona wako juu ingawa ndugu yao Surf huwa namkubali kishingo upande...(MODS TAFADHALI MSIUNGANISHE HII SLEDI TUJADILI HAPA NA WANABODI KUHUSU OFF ROADS)