MBIIRWA
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 2,585
- 5,245
Gari nzuri, ninayo zaidi ya mwaka sasa haijawahi kusumbua. Kama anavyosema mdau mmoja mziki wake ni mkubwa, mwonekano wa ndani mzuri tofauti na baadhi ya TOYO. Ina injini kubwa na unafuu wa mafuta utaona Highway na safari ndefu.
Kama matumizi yako ni route fupi na muoga wa mafuta SIKUSHAURI.
Kama matumizi yako ni route fupi na muoga wa mafuta SIKUSHAURI.