Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,713
Wazee kuna hii chuma ya Mitsubishi Motors naona imeanza kuingia mtaani kwa ukali sema experience nilionayo kwa hawa jamaa toka enzi za Pajero mpaka RVR chuma zao zilikuwa nyanya sana japo zina engine zenye nguvu sana.
Cut the story short hio gari nazungumzia ni "Mitsubishi Outlander" naona imetokea kupendwa flani na wabongo wenzangu na idadi yake kitaa inazidi kuongezeka siku hadi siku.
Wenye nayo au ambao mshawahi kuikwea Je, ina maajabu gani hio chuma maana mi kuna moja ya injinia jirani yangu wakati anapandisha mavifaa yake huku anakula ngoma niliona ina inbuit subwoofer kwenye buti kwa kuwa mie ni chizi mziki ikanivutia sana.
Cut the story short hio gari nazungumzia ni "Mitsubishi Outlander" naona imetokea kupendwa flani na wabongo wenzangu na idadi yake kitaa inazidi kuongezeka siku hadi siku.
Wenye nayo au ambao mshawahi kuikwea Je, ina maajabu gani hio chuma maana mi kuna moja ya injinia jirani yangu wakati anapandisha mavifaa yake huku anakula ngoma niliona ina inbuit subwoofer kwenye buti kwa kuwa mie ni chizi mziki ikanivutia sana.