Bandika bei kaka, na linapatikana wapi kwa kulikagua zaidi...Lilikuwa linatumika kwa kazi ipi? Mchanga, Kokoto au kifusi? Sababu ya kuuza ni nini? NB: Nipo serious na manunuzi kama bei itakuwa ya kizalendo na Kwa muda wa 1.5yr usage hapa tz
<br />Doltyne, naomba niwie radhi sikuwa hewani tangu juzi. <br />
<br />
Bei ninaanziaTSh 55m (mazungumzo yapo). Linapaki Mbuyuni-Kunduchi along Bagamoyo Road. Linauwezo wa kupepa 25ton ni kwa ajili ya kazi zote nzito nzito kama ulivyozitaja baadhi yake hapo juu. Ninaliuza kwa sababu ninahitaji fedha ya kuongezea maana nimeamua kwenda kufanya PhD-UK na nitajilipia gharama zote. Nimehangaika ninatafuta sponsor...lakini wapi...nikaona ni vema niachie huo mtambo. Ni truck zuri sana....japo huwezi kuamini. Please give a try to link up with me if at you are really serious (E-mail: <a href="mailto:fuso2015@yahoo.com"><font color="#0033CC">fuso2015@yahoo.com</font></a>).
<br />
<br />
Mkuu, all the best kutafuta phd UK, samahani kwa kuuliza swali ambalo linaweza lisiwe na mantiki kwako kwa sasa. Unasoma ili iweje? Kama ni investment basi kumbuka 55m return yake ni ya muda mrefu ukizingatia utakuwa masomoni kwa miaka mitatu au minne. Kama huna taarifa UK maisha ni ghali sana, 55m ni pesa ndogo sana, kama £20,000 tu, kule kwa mwaka lazima uwe na £12,000 ili uweze kuishi comfortable kidogo kama mwanafunzi, hiyo ni nje ya ada mkuu. Sasa kujisomesha phd kwa budget hiyo mzee itakula kwako. Binafsi nimetoka UK miezi kadhaa iliyopita, nimesoma vema na naajirika lakini siko tayari kuendelea na kazi za kuajiriwa kwahiyo masomo kama phd na masters nimeshayarule out. Sijui umejipanga vipi, ila mkuu bora tipper liendelee kuleta hesabu itakusaidia maisha ya UK.
Well back to the business, sina budget ya 55m kununua fuso. Realistically hiyo ni bei ya kununua scania 114, au 124 ya tani 32, yenye double diff mbele na nyuma, hapa bongo wanaita mende.
Nilinunua volvo UK mwezi wa pili mwaka huu, inapiga mzigo fresh na haikufika hata 30m. Na inakula tani 32 mzee. Ndio maana nilikuambia taja bei inayoendana na soko na umri wa gari.
Kila la kheri mkuu. Tuko pamoja sana tu.
<br />Mkuu, ninakushukuru sana kwa ushauri wako. Si mgeni sana na gharama za maisha UK, kwa maana nimesoma huko MSc na nilijisomesha...japo ni kama 3 yrs back. Ni bora nika-invest kwenye elimu kwanza....na kama ni maisha yapo tu. <br />
<br />
Juu ya bei za magari hususani trucks, naomba ubofye kwenye hizo links: <br />
1. <a href="http://www.tradecarview.com/used_car/japan%20car/mitsubishi+fuso/great/?eid=1&pb=8" target="_blank">Mitsubishi Fuso / Great - Japanese used cars exports and Japan car import / Truck / Sort by : Update - New to Old / Page. 1 [ tradecarview ]</a><br />
2. <a href="http://www.tradecarview.com/used_car/japan%20car/scania/all/?eid=1&pb=8&sb=14" target="_blank">Scania - Japanese used cars exports and Japan car import / Truck / Dump / Sort by : Update - New to Old / Page. 1 [ tradecarview ]</a><br />
<br />
Na hizo bei ni F.O.B Japan. Exchange rate ya TSh kwa US $ unaifahamu. Makadirio ya kodi na ushuru kwa TRA n.k unayafahamu pia. <br />
<br />
Kama kweli umeweza kuingiza Scania (Mende) yenye double diff mbele na nyuma kwa less than TSh 30m ambayo ni almost US $ 17,000 basi dunia hii na hususani nchi hii ina <u><b>double standards! </b></u>Nisaidie kujua website ya huko ulikochukua hiyo Scania (mende).
<br />
<br />
Mkuu, all the best kutafuta phd UK, samahani kwa kuuliza swali ambalo linaweza lisiwe na mantiki kwako kwa sasa. Unasoma ili iweje? Kama ni investment basi kumbuka 55m return yake ni ya muda mrefu ukizingatia utakuwa masomoni kwa miaka mitatu au minne. Kama huna taarifa UK maisha ni ghali sana, 55m ni pesa ndogo sana, kama £20,000 tu, kule kwa mwaka lazima uwe na £12,000 ili uweze kuishi comfortable kidogo kama mwanafunzi, hiyo ni nje ya ada mkuu. Sasa kujisomesha phd kwa budget hiyo mzee itakula kwako. Binafsi nimetoka UK miezi kadhaa iliyopita, nimesoma vema na naajirika lakini siko tayari kuendelea na kazi za kuajiriwa kwahiyo masomo kama phd na masters nimeshayarule out. Sijui umejipanga vipi, ila mkuu bora tipper liendelee kuleta hesabu itakusaidia maisha ya UK.
Well back to the business, sina budget ya 55m kununua fuso. Realistically hiyo ni bei ya kununua scania 114, au 124 ya tani 32, yenye double diff mbele na nyuma, hapa bongo wanaita mende.
Nilinunua volvo UK mwezi wa pili mwaka huu, inapiga mzigo fresh na haikufika hata 30m. Na inakula tani 32 mzee. Ndio maana nilikuambia taja bei inayoendana na soko na umri wa gari.
Kila la kheri mkuu. Tuko pamoja sana tu.
Kwa gari ya mwaka 1994 hiyo bei haijakaa sawa
Babu, hiyo ni bei ya kuanzia......maongezi yapo kwa yeyote aliye serious.....karibu sana!