Mitsubish Galant Fortis

Boeing 747

JF-Expert Member
Mar 30, 2018
3,510
9,348
Heshima kwa kila mmoja wenu,
Wajuzi wa magari, naomba wenye uelewa zaidi ya hili gari dogo la Mitsubish Galant Fortis...Zipo za mwaka 2008, 2009, 2010 na kuendelea.
Nyingi zinakuja na injini ya cc 1790 mpaka 1990 petrol.

Binafsi naona ni gari la Kijapani lenye muoneka unique ladha tofauti machoni ukilinganisha na muonekano wa kawaida kawada ambao tumezoea kutoka kwenye magari ya kijapani.

Muonekano wa gari hili, ndiyo ladha pekee kutoka Japani inayonipendeza kwa haya magari ya chini ya cc 1990. Muonekano wake haujakaa yeboyebo kama tulivyozoea magari mengine.

Pia inaonekana ni gari ya performance kuna zenye turbo na zisizo na turbo.

Interior look yake inapendeza sana unaweza ukadhani ni BMW ile sura ya pale mbele ndiyo imekaa kibabe haswaa...imekaa kiume.

Kwa sasa zipo nyingi beforward ila bei yake imesimamia kucha kidoogo.

Nitakapotaka kubadilisha gari, this is my next car hofu ya spea itajiweka sawa yenyewe wakati huo litakapokuwa linadai spea. Najua watu wengi watalikubali sana hili gari ila hofu ipo kwenye speMiliki chombo, woga wa spea unatunyima ladha tamu sana

Dear Mitsubish Galant, I wish to see in my parking lot in the next few years kama si wewe, basi nitaendelea tu na Nissan Tiida au Subaru Impreza.

Have a nice day, Mitsubish Galant..
IMG_20190905_085055_525.jpeg
IMG_20190905_085029_028.jpeg
IMG_20190905_085008_381.jpeg
IMG_20190905_084934_331.jpeg
IMG_20190905_084909_104.jpeg
IMG_20190905_084845_800.jpeg
 
sema limekaa kama EVO series ila Evolution ni mashine za kazi aisee nadhani ndio mpinzani wa subaru
 
Mzee baba hio Mitsubish Galant Fortis=Mitsubish Lancer,so spare zitapatikana fresh tu mzee baba.

Wasiwasi wa gari kama hii kwangu hua ni bodyparts tu incase umepata ume gongwa/ajali lkn na zenyewe ukiwa hauna haraka ukiagiza unapata tu though gharama lazima ujiandae kiaina.

Kuna kipindi niliipenda mitsubishi gto 2004 lkn nikapigwa mikwara na wadau khs spea balaa ikabidi nichukue mazda rx 8,so nilichojifunza nikitaka gari nanunua tu mengine yatajipanga mbele kwa mbele likibuma basi ni bahati mbaya yangu uzuri hua sinunui gari nikiwaza khs suala mambo ya resale value ya hio gari

Enjoy kiongozi.
 
Mzee baba hio Mitsubish Galant Fortis=Mitsubish Lancer,so spare zitapatikana fresh tu mzee baba.

Wasiwasi wa gari kama hii kwangu hua ni bodyparts tu incase umepata ume gongwa/ajali lkn na zenyewe ukiwa hauna haraka ukiagiza unapata tu though gharama lazima ujiandae kiaina.

Kuna kipindi niliipenda mitsubishi gto 2004 lkn nikapigwa mikwara na wadau khs spea balaa ikabidi nichukue mazda rx 8,so nilichojifunza nikitaka gari nanunua tu mengine yatajipanga mbele kwa mbele likibuma basi ni bahati mbaya yangu uzuri hua sinunui gari nikiwaza khs suala mambo ya resale value ya hio gari

Enjoy kiongozi.
Well said...
Hata mimi gari huwa nanunua linalonipendeza bila kujali resale value...cha msingi moyo wangu upate kitu ninachokipenda...
Ikifikia kipindi nataka kubafilisha gari, nahamia humu.....spea zitajipanga zenyewe...
Nikishindwa, basi Nissan tiida au Subaru Impreza...
Nayapenda sana haya magari.....ukiyaendesha una feel ladha ya tofauti sana ukilinganisha na common cars kama ist..
 
Mzee baba hio Mitsubish Galant Fortis=Mitsubish Lancer,so spare zitapatikana fresh tu mzee baba.

Wasiwasi wa gari kama hii kwangu hua ni bodyparts tu incase umepata ume gongwa/ajali lkn na zenyewe ukiwa hauna haraka ukiagiza unapata tu though gharama lazima ujiandae kiaina.

Kuna kipindi niliipenda mitsubishi gto 2004 lkn nikapigwa mikwara na wadau khs spea balaa ikabidi nichukue mazda rx 8,so nilichojifunza nikitaka gari nanunua tu mengine yatajipanga mbele kwa mbele likibuma basi ni bahati mbaya yangu uzuri hua sinunui gari nikiwaza khs suala mambo ya resale value ya hio gari

Enjoy kiongozi.
Daaah aisee Hilo wazo lako ni sahihi kabisa sometimes huku mitaani watu wanatishana Sana kuhusu fuel consumption na spare parts..
Kwangu Mimi gari yenye CC 1990 kushuka chini sihofii kabisa kuhusu ulaji wa mafuta, Kwenye haya maisha ukiogopa gharama utaishia kuishi maisha ya taabu tu
 
Well said...
Hata mimi gari huwa nanunua linalonipendeza bila kujali resale value...cha msingi moyo wangu upate kitu ninachokipenda...
Ikifikia kipindi nataka kubafilisha gari, nahamia humu.....spea zitajipanga zenyewe...
Nikishindwa, basi Nissan tiida au Subaru Impreza...
Nayapenda sana haya magari.....ukiyaendesha una feel ladha ya tofauti sana ukilinganisha na common cars kama ist..
Huwa nashangaa Sana mtu anaenda kununua Toyota Passo eti Kwa ajili ya kubana mafuta kitu ambacho unakuja kujuta baada ya miaka 2 maana Passo inakuwa kama imepigwa bomu kwajins ilivyochoka..
 
Well said...
Hata mimi gari huwa nanunua linalonipendeza bila kujali resale value...cha msingi moyo wangu upate kitu ninachokipenda...
Ikifikia kipindi nataka kubafilisha gari, nahamia humu.....spea zitajipanga zenyewe...
Nikishindwa, basi Nissan tiida au Subaru Impreza...
Nayapenda sana haya magari.....ukiyaendesha una feel ladha ya tofauti sana ukilinganisha na common cars kama ist..

Mzee baba we vuta kitu ile roho inapenda mengine yatajulikana mbele ya safari,hua kuna kuna raha ya aina yake kua na gari ya kitofauti kidogo.,vuta impereza hapo ila iwe wrx au wrx sti.
 
Daaah aisee Hilo wazo lako ni sahihi kabisa sometimes huku mitaani watu wanatishana Sana kuhusu fuel consumption na spare parts..
Kwangu Mimi gari yenye CC 1990 kushuka chini sihofii kabisa kuhusu ulaji wa mafuta, Kwenye haya maisha ukiogopa gharama utaishia kuishi maisha ya taabu tu
Hizo mambo za kutishana tunazo sana kibongo bongo,shida wengi tunapenda magari ya kututoa sehemu 1 mpk nyingine hatuna ile mambo ya kupenda luxury nje ya hapo.

Najua mzee baba forester iko kwny ramani zako baada ya kupiga chini wazo la crown.
 
Huwa nashangaa Sana mtu anaenda kununua Toyota Passo eti Kwa ajili ya kubana mafuta kitu ambacho unakuja kujuta baada ya miaka 2 maana Passo inakuwa kama imepigwa bomu kwajins ilivyochoka..
Hahahaa...tatizo letu sisi hatutaki kupanua mawazo....hatutaki kubadilika...lakini ukweli ni kwamba kuna magari mazuri sana zaidi ya hizo toyota..tatizo tunaogopeshana....ukishalimiliki, pia unapata akili ya kutatua changamoto zake
 
Hahah daah kuna mwana alinunua passo afu akawa anapenda kutoa lift balaa,utamsikia oyaa ntapita hapo twende sehemu usijali tutaenda na gari yangu kumkataa yenyewe haiwezekani maana tunaheshimiana.

Shida sasa akiwasha passo yake daah ilikua inatetemeka mpk unasikia mwili mzima kuwasha hahah,ila naona wadau walimponda sana akakauza sa hivi ana rav 4 'miss Tanzania' alimvua mtu.
Huwa nashangaa Sana mtu anaenda kununua Toyota Passo eti Kwa ajili ya kubana mafuta kitu ambacho unakuja kujuta baada ya miaka 2 maana Passo inakuwa kama imepigwa bomu kwajins ilivyochoka..
 
Kuna thread 1 niliona mdau anasema amenunua x-trail ila ameshauriwa na mafundi atoe thermostat hahah nikasema huyu hana tofauti na aliyechomoa betri kwny ile ajali,soon atalikimbia gari lake
Hahahaa...tatizo letu sisi hatutaki kupanua mawazo....hatutaki kubadilika...lakini ukweli ni kwamba kuna magari mazuri sana zaidi ya hizo toyota..tatizo tunaogopeshana....ukishalimiliki, pia unapata akili ya kutatua changamoto zake
 
Hahah daah kuna mwana alinunua passo afu akawa anapenda kutoa lift balaa,utamsikia oyaa ntapita hapo twende sehemu usijali tutaenda na gari yangu kumkataa yenyewe haiwezekani maana tunaheshimiana.

Shida sasa akiwasha passo yake daah ilikua inatetemeka mpk unasikia mwili mzima kuwasha hahah,ila naona wadau walimponda sana akakauza sa hivi ana rav 4 'miss Tanzania' alimvua mtu.
Vibration mpaka unahisi kuwashwa....inakuwa kama mtu aliyesafiri na TOYO umbali mrefu....
 
Hiyo thread hata mimi nimeiona...
Na ninakumbuka nilimshauri asisikilize hizo MYTHS...
Nilimshauri atumie coolant genuine ya Nissan na engine oil za kueleweka, si za kupima.....

Akijichanganya aweke maji ya kisima, atafurahi..
Kuna thread 1 niliona mdau anasema amenunua x-trail ila ameshauriwa na mafundi atoe thermostat hahah nikasema huyu hana tofauti na aliyechomoa betri kwny ile ajali,soon atalikimbia gari lake

Halafu kuna tabia nyingine mtu ananunua gari lake aidha Toyota, Nissan, Subaru n.k..watu wanamshauri kama feni ni ya umeme, aondoe mfumo wa automatic starting, aunge iwe inazunguka muda wote.....watu wanashauriwa vitu vingi sana ambavyo ni vya kupotoshana
 
Pia Nissan tiida is my favourite.. .ukifanya body customisation, inakaa vizuri..
Pia ndani ina muonekano mzuri na nafasi ya kutosha kulingana na udogo wake
IMG_20190906_080123_338.jpeg
IMG_20190906_075907_133.jpeg
IMG_20190906_075951_739.jpeg
IMG_20190906_080048_538.jpeg
IMG_20190906_082120_805.jpeg
IMG_20190906_082201_747.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom