Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,672
- 2,697
Tatizo lipo kwa mwalimu, ameshindwa kumuelewesha mwanafunzi kuwa anapoambiwa kanusha inatakiwa afanye kitu gani,
Utakuta et mwalimu ndio anaona et mtoto ni kilaza, ualimu ni wito wengine hamjaitwa mmejipeleka tu
Umepata tu mshipa wa kulaumu mwalimu, ila mwanzo wa mtihani ni mwisho wa maelekezo. Yaani amkalishe kwenye mtihani bila kumpa maelekezo.