MITO INAYOLISHA STIGLERS, WAKULIMA KIDOGO CHANGAMOTO

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,941
3,860
Stiglers Gorge (Mto rufiji)
  • inalishwa na maji ya kwenye mito kutoka mikoa mingi kama Njombe,Pwani, Mbeya, Morogoro na Iringa.
  • Kuna mito mikubwa mitatu inayomwaga maji stiglers ambayo ni Kilombero, Luwegu na Ruaha Mkuu
  • Mto Ruaha Mkuu ni tawi mama la Mto Rufiji(stiglers) , Mto huu Unaanzia milima ya kipengere makete Njombe na kupitia Mbeya sehemu inaitwa mbarali na unapita Iringa halaf dodoma katikati ya bwawa kubwa la mtera halaf unaenda Morogoro unapita katikati ya bwawa kubwa la kidatu halafu unakwenda kuungana na mto kilombero na Luwegu kutengeneza Mto Rufiji(stiglers)
  • Mito inayomwaga maji katika mto Ruaha Mkuu ni Lukosi, Yovi,kitete,sanje,Ruaha mdogo,kisigo,mbarali,kimani,chimala,umrobo,mkoji,kubwa,mlomboji,ipatagwa,mama, na mswiswi(KAMA WAKULIMA WA MCHELE HUKU MBEYA WATAPUNGUZWA MTO HUU UTAKUWA NA MAJI MENGI SANA NA PIA STIGLERS) Inapaswa wakulima waamie kulima chini au downstream yaani baada ya maji kutoka stiglers sio kabla Hayajaingia

  • Mto mwingine mkubwa unaopeleka maji stiglers ni Mto kilombero,limto hili ni likubwa linatokea baada ya kuunganika mito mingi midogo midogo kutoka milima ya udzungwa na mahenge na kupita bonde la ulanga, pia maji ya Mto kihansi yakishazalisha umeme yanamwagwa kilombero. Japo pia huku Kuna walima MCHELE wanaopunguza Flow
  • Mto mwingine mkubwa kabisa unaomwaga maji stiglers ni Mto Luwegu, una maji MENGI SANA,
  • Licha ya hiyo mito mikubwa mitatu pia Kuna mito midogo midogo kutoka mkoa wa Pwani inamwaga maji stiglers.

CHANGAMOTO YA WAKULIMA
Mito hii ina maji mengi SANA sema maji mengi yanatumika kulimia mpunga, Mto Ruaha Mkuu umekaushwa na wanyakyusa wanaolima MCHELE huku nyanda za juu kusini. Serikali lazma iwahamishie chini WAKULIMA hawa, vinginevo maji maji stiglers hayatatosha





440px-Rufiji_River_basin_map.svg.png
 
Huu mradi wa umeme utaleta mapinduzi makubwa ya kiuchumi hasa Katika nyanja ya uvuvi na viwanda
 
Asante sana umenipa ufahamu mzuri sana
Stiglers Gorge (Mto rufiji)
- inalishwa na maji ya kwenye mito kutoka mikoa minne ambayo ni Pwani, Mbeya, Morigoro na Iringa.
- Kuna mito mikubwa mitatu inayomwaga maji stiglers ambayo ni Kilombero, Luwegu na Ruaha Mkuu
- Mto Ruaha Mkuu ni tawi mama la Mto Rufiji(stiglers) , Mto huu Umeanzia Mbeya sehemu inaitwa mbarali na unapita Iringa halaf dodoma katikati ya bwawa kubwa la mtera halaf unaenda Morogoro unapita katikati ya bwawa kubwa la kidatu halafu unakwenda kuungana na mto kilombero na Luwegu kutengeneza Mto Rufiji(stiglers)
- Mito inayomwaga maji katika mto Ruaha Mkuu ni Lukosi, Yovi,kitete,sanje,Ruaha mdogo,kisigo,mbarali,kimani,chimala,umrobo,mkoji,kubwa,mlomboji,ipatagwa,mama, na mswiswi(KAMA WAKULIMA WA MCHELE HUKU MBEYA WATAPUNGUZWA MTO HUU UTAKUWA NA MAJI MENGI SANA NA PIA STIGLERS) Inapaswa wakulima waamie kulima chini au downstream yaani baada ya maji kutoka stiglers sio kabla Hayajaingia

- Mto mwingine mkubwa unaopeleka maji stiglers ni Mto kilombero,limto hili ni likubwa linatokea baada ya kuunganika mito mingi midogo midogo kutoka milima ya udzungwa na mahenge na kupita bonde la ulanga, pia maji ya Mto kihansi yakishazalisha umeme yanamwagwa kilombero. Japo pia huku Kuna walima MCHELE wanaopunguza Flow
- Mto mwingine mkubwa kabisa unaomwaga maji stiglers ni Mto Luwegu, una maji MENGI SANA,
- Licha ya hiyo mito mikubwa mitatu pia Kuna mito midogo midogo kutoka mkoa wa Pwani inamwaga maji stiglers.

CHANGAMOTO YA WAKULIMA
Mito hii ina maji mengi SANA sema maji mengi yanatumika kulimia mpunga, Mto Ruaha Mkuu umekaushwa na wanyakyusa wanaolima MCHELE huku nyanda za juu kusini. Serikali lazma iwahamishie chini WAKULIMA hawa, vinginevo maji maji stiglers hayatatosha





View attachment 970063


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mm nilitaka kufanya research ya namna gani ya kuya gawanya maji haya ya mto ruaha kwa kuangalia economic returns lkn watu wangu wa karibu walini discourage sana.
Lkn wazo bado ni nalo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mm nilitaka kufanya research ya namna gani ya kuya gawanya maji haya ya mto ruaha kwa kuangalia economic returns lkn watu wangu wa karibu walini discourage sana.
Lkn wazo bado ni nalo

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa bonge la study kwa kuwa hiyo kitu nadhani haijafanyika bado effectively, ndio maana migogoro mingi Sana Kati ya wakulima ukanda wa juu na tanesco wanaotumia maji kuzalisha umeme
 
Umeme kuzuia mpunga usilimwe!!!

Iko siku mtawaelewa wataalam walioshauri tuachane na ma Stigila goji.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom