Mitindo ya unapofanya majambozi huwa nimafunzo au bidii ya mtuu mwenyewe?

huku comments zinakuwa nyingi kuliko kwenye ukurasa wa siasa....noma!!!!!:smile-big:
 
Kuna mtu aliwahi anzisha thread ya chuo cha mapenzi pengine wanatoa mafunzo ya hayo maujuzi...!
 
Nasikia wababa wakisema aaaa huyo hamuna kitu hana mtindo wowote akilala
kama mzigo. Na mwingine utasikia akisifia kua huyo mama au dada achana nae,
akikupa kichuma boga hutoki au akikaa mkao wa umakeyika hata uweke sindano
haigusi anaelea kama mtwumbwi, na mavituzi yanaendelea.

Ebu wewe mwenyewe tupatie ujuzi wako. Wewe uwaga unafanyaje ukiwa ktk majambozi?

 
chezea katerelo wewe!
Wababa zameni chunvini hacha uvivu na kinyaa,endelea kugoma utajua umuhimu wake siku nikipanga karibu na kwako..
 
majamboz unaweza kufunzwa lakini mkiwa katika 6*6  hakunaga formula ni mautundu na kufanya kile kitu unajisikia kufanya,, kungekua na darasa la mapenzi ningeongea kiundani mautundu ya 6*6
 
Back
Top Bottom