Chibenambebe
Senior Member
- Mar 27, 2012
- 148
- 25
Kama ambavyo tulishuhudia vyombo vya habari last week vikiripoti kupungua kwa makali ya mgomo wa madaktari na kuelezea kuwa huduma zikirudi katika hali ya kawaida, kumbe hali hii ilitokana na wanachuo wa udaktari chuo kikuu cha Muhimbili kuwa katika mtihani yao ya kumaliza semister. Katika kipindi cha wiki zima wanafunzi wa mwaka wa nne na mwaka wa tano pamoja na madaktari bingwa ambao huwa ndio wasimamizi wa mitihani hii walionekana huku wakiwa wamevalia makoti ya udaktari na kuonekana wakiongea na wagonjwa wakati wakichukua maelezo ya wagonjwa. Kipimo halisi cha ukali wa mgomo huu tutegemee kukipata wiki hii ambapo wale medical students wameshamaliza mitihani yao.
So stay tuned this week!!!!!!!!
So stay tuned this week!!!!!!!!