Khalu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 525
- 565
Nimeiona, lakini umejizungumzia wewe kwa sababu si wote ambao hawaku-cover kama wewe.Mkuu nimeshaizungumzia comment inayofuata Mimi mwenyewe Chuo kimefungwa one week tufanye UE
Nimeiona, lakini umejizungumzia wewe kwa sababu si wote ambao hawaku-cover kama wewe.Mkuu nimeshaizungumzia comment inayofuata Mimi mwenyewe Chuo kimefungwa one week tufanye UE
Kama kuna shule haijamaliza igomee kufanya mitihaniAcha mihemko unauhakika gani kufanya mock ni kuwa umemaliza topic
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona shule yangu hatujamaliza phy na chemKama kuna shule haijamaliza igomee kufanya mitihani
Shule yako shule gani ili tusiwalete watoto wetuMbona shule yangu hatujamaliza phy na chem
Shule moja kubwa huko njombe inabeba wanafunzi 1000+Shule yako shule gani ili tusiwalete watoto wetu
Nawe andika vizuri, na siyo andika vzrA
Andika vzr
ndo combinations gani hizo!?Wale wa makombi ya kusoma vitabu vikubwa kama mikate ya Arusha ,kazi wanayo
Embu weka akiba ya maneno na tumia lugha ya kistaarabu, wewe ni mwalimu? je syllabus ilitakiwa kumalizika lini? kwahiyo mwalimu anatakiwa kumaliza syllabus miezi miwili kabla ya mitihani? alafu usichojua kaa kimya, ukiandika usichokijua unadhihirisha uwezo wako wa kufikiri jinsi ulivyo.Huyu mama ni prof wa ajabu duniani. Ameibuka sijui kutokea wapi muda huu.wanafunxi hata kumalizia sillabus ilikuwa bado .na tangu corona uanze haijawahi kusema chochote kwenye sekta ya elimu.
Na wewe huelewekiEmbu weka akiba ya maneno na tumia lugha ya kistaarabu, wewe ni mwalimu? je syllabus ilitakiwa kumalizika lini? kwahiyo mwalimu anatakiwa kumaliza syllabus miezi miwili kabla ya mitihani? alafu usichojua kaa kimya, ukiandika usichokijua unadhihirisha uwezo wako wa kufikiri jinsi ulivyo.
Yan ni hv Hawa madgo kwanza wanafaida wameachiwa gap kubwa mno la kufny revision ,2 month ..na sylabuss lazm imalizwe. Before Pepa na shule zlifungwa tarehe za april mwanzoni na mtihani ulkuwa ufnyike may mwanzoni ,kwa maana hyoo lazima madogo walkuwa wamejiandaa vya kutoshaa ,,cha ajabu huku mtaani naona madgo wamejisahau daily kuzunguka kuwinda tunda wale/waliwe kimasihala..Embu weka akiba ya maneno na tumia lugha ya kistaarabu, wewe ni mwalimu? je syllabus ilitakiwa kumalizika lini? kwahiyo mwalimu anatakiwa kumaliza syllabus miezi miwili kabla ya mitihani? alafu usichojua kaa kimya, ukiandika usichokijua unadhihirisha uwezo wako wa kufikiri jinsi ulivyo.