Mitihani ya form 6-PCB: Ndiyo maana ufaulu unakuwa mkubwa

Yaani wewe ni limbukeni kikongwe! Sina haja ya kutafuta huo mtihani uliofanya.. Haina maana.
Let's do this, nikuulize umejuaje huo mtihani ni mrahisi? Nikuulize baadhi ya maswali humo?
Wewe hujui kitu, kama unasema biology hiyo ni ngumu basi wewe bure kabisa
 
Nilimaliza A level miaka ya 90. Huu mtihani ni mboga. Siyo biology. Mitihani imekuwa ina-evolve taratibu kuelekea kwenye mboga. Wakati nasoma miaka hiyo, nikiangalia past paper za miaka ya 80 na 70, nilikuwa natikisa kichwa tu. Maswali yalikuwa magumu sana.
A za biology huwa hazifikagi 30. Hakijabadilika kitu mwaka huu... Na kuhusu huo mtihani acha kupotosha kwa kusema ni kidato cha pili na nne. Aliyesoma Biology level yeyote hapo ataelewa ninachokiongea
 
Nimekuwa nijiuliza kulikoni PCB mtu anafaulu na AAB, BBB, ABB and the like. Kumbe ni mitihani level ya kidato cha PILI na kidogo cha NNE
Angalia biology -2020: Maswali ya form 2... kidogo form 4!
Mkuu nahisi kama unapotosha umma lakni ikumbukwe mitihan ya mwak huu ilikuwa inahitaji ustadi sana wa kuchambua na kulielewa swali ili uweze kujibu la sivyo weng walijibu tofaut na swali (out of point) OP
 
Nimesoma PCB hujazaliwa, you can imagine the ages I am talking about! Biology A level haiwi that much simple! Tafuta biology ya 1977....
Ni mtizamo t lakn kila mtihan unatungwa kutokana na matakwa ya watungaji ili kupima uwezo kwa kutegemea materials za kufundishia
 
A za biology huwa hazifikagi 30. Hakijabadilika kitu mwaka huu... Na kuhusu huo mtihani acha kupotosha kwa kusema ni kidato cha pili na nne. Aliyesoma Biology level yeyote hapo ataelewa ninachokiongea
Mm namshamgaa huyuu mwamba hapo ili upate lazima uandike majibu ya kikubwa biology unaweza iona raisi ikakutia mimba
 
Back
Top Bottom