Mchome ray
Member
- Feb 22, 2012
- 13
- 1
Katibu mkuu Necta Dr.ndalichako ametangaza hivi karibuni kuwa mitihani itasahihiswa kwa mashine maalumu kuanzia mwaka huu,ametoa sababu nyingi ikiwemo gharama kubwa kipindi cha usahhshaji.hoja yangu hapa nikwamba kipindi cha nyuma chenyewe wanafunzi walikuwa wanajaza majbu kwenye vibox mfano A.B nk.mfumo huu ndio zao la wanafunzi wengi wasio weza kuandika na kusoma katika shule za sekondari nchini,kutokana na hili tulitegemea mwaka huu waongeze kipengele kimoja ambacho mwanafunzi atasoma na kujbu na kingine awekewe kibox cha kuandika maelezo(maneno 30 au 50)angalau ili necta waweze kuona mwandiko na kujirizisha.Lakini wao badala ya kushuhulika na changamoto hizi wana leta mashine ambazo kabsa mtihami wote utakuwa objectives kisa hakuna fedha wakati watu wanatumbua mabilion ya pesa za elimu.ubinafsi na kutokufikiria kuhusu kizazi kijacho kitaangamiza taifa hili.naomba kuwasilisha.