Kwenu Wanafamilia wa JF
Ninatafuta kazi sehemu yoyote ndani ya nchi.
Kazi ninazoweza kuzifanya kutokana na uzoefu wa nilikopita kikazi na nilivyosoma:-
Brief Background:
Kampuni niliyokuwa nafanya kazi iliuzwa, wamiliki wapya wakapunguza wafanyakazi na kubadili uongozi, mimi ni moja ya waliopunguzwa.
Nimekuwa nikitafuta kazi kwa muda sasa lakini soko la ajira ni gumu, baadhi ya kazi nazikosa kwa kigezo kwamba ni low profile jobs, wanahisi sitakaa nao.
Ombi Kwenu:
Kwa yeyote mwenye nafasi ya kazi mahali alipo, au kuweza kusaidia kwa namna yoyote ile ninaomba msaada huo.
Maisha yamekuwa changamoto zaidi baada ya kibanda cha biashara nilichokuwa nafanya immediately baada ya kuacha kazi kubomolewa kwa sababu ya upanuzi wa barabara, hela ya kulipia frem mpya nikawa sina hivyo nikaamua kusukuma mzigo kwa hasara.
Sijakata tamaa bado ingawa maisha siyo rafiki kabisa katika kipindi kama hiki.
Shukrani kwenu.
Ninatafuta kazi sehemu yoyote ndani ya nchi.
Kazi ninazoweza kuzifanya kutokana na uzoefu wa nilikopita kikazi na nilivyosoma:-
- Uhasibu (Accountant/Finance Officer)
- Afisa mikopo (Loans and credit analysis)
- Ualimu wa masomo yafuatayo; Basic and Advanced Maths, Economics, Accounts na Geography
Brief Background:
Kampuni niliyokuwa nafanya kazi iliuzwa, wamiliki wapya wakapunguza wafanyakazi na kubadili uongozi, mimi ni moja ya waliopunguzwa.
Nimekuwa nikitafuta kazi kwa muda sasa lakini soko la ajira ni gumu, baadhi ya kazi nazikosa kwa kigezo kwamba ni low profile jobs, wanahisi sitakaa nao.
Ombi Kwenu:
Kwa yeyote mwenye nafasi ya kazi mahali alipo, au kuweza kusaidia kwa namna yoyote ile ninaomba msaada huo.
Maisha yamekuwa changamoto zaidi baada ya kibanda cha biashara nilichokuwa nafanya immediately baada ya kuacha kazi kubomolewa kwa sababu ya upanuzi wa barabara, hela ya kulipia frem mpya nikawa sina hivyo nikaamua kusukuma mzigo kwa hasara.
Sijakata tamaa bado ingawa maisha siyo rafiki kabisa katika kipindi kama hiki.
Shukrani kwenu.