Jickson Nkulikwa
Senior Member
- Nov 13, 2016
- 104
- 52
Napenda kuweka maandiko yangu hapa kuishauri wizara ya Elimu,sayansi ,technolojia na ufundi,kuwa mtihani was form two ufutwe badala yake walimu wapewe mamlaka ya kuchuja kila darasa kuanzia form one,nimetafakari hili kwa kuangalia shule za binafsi wana walimu wa kuhamahama lakini bado kidato cha NNE serikali inashika mkia wakati Ina walimu wengi na wa kudumu,nikagundua kuwa sisi tunaangslia quantintatives kuliko qualitative change.mh.Ndalichako tafakari hili tuchague mbegu bora mapema kuliko kupanda mbegu madamu mbegu tukitegemea bahati kuota kwake,Siamini kabisa shule za serikali kushika mkia tusipofanya hivi elimu bure itakuwa Bure kweli kweli . tunapokea watoto lukuki kusoma hawajui wala kuandika majina yao..sekondari hizi ni za UPE? Duu! Walimu sekondari tusipewe lawama badala yake wizara ilaumiwe!! By mwl.Nkulikwa Jickson E. Ahsante.