wakuu samahanini kidogo, kulikua na thread moja hivi hapa ina picha za miti ya ajabu
mingine inafanana na picha za watu(binadamu).
kwa anaye kumbuka jamani naomba anipe link, plz!
asante sana kwa msaada wakolink hii hapa: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/44573-nature.html
inabidi uwe na 'access' na jukwaa la mambo ya kikubwa....
aksante sana mkuu!!.link hii hapa: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/44573-nature.html
inabidi uwe na 'access' na jukwaa la mambo ya kikubwa....