Miti ya matunda ya kisasa

*ryzer agro products*
*ni wazalishaji wa miche aina zote za matunda,maua pamoja na miti ya mbao na urembo...*

Karibu sana kwetu ujipatie miche ya matunda ya muda mfupi.Tuna miche ifuatayo:-
Nazi miaka mitatu tsh.7000
Zaituni miaka miwili tsh.5000
Ndizi miezi 7 tsh.3500
Fenesi,korosho miaka miwili tsh.3000

Pia tuna *miembe*michungwa*,pera,parachichi,limao,ndimu,chenza,mbilimbi,*topetope,stafeli,cocoa( huzaa ndani ya miaka miwili) kwa tsh.2500
*Strawberry* mwezi mmoja kwa tsh.2500
Tunapatikana Sua morogoro na tunatuma popote Tanzania.Malipo ni baada ya kupokea mzigo wako.
Ukihitaji tuwasiliane namba *0653405342*.
*Nyote mnakaribishwa*
 
Back
Top Bottom