FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
Kwahiyo tutapata hiyo imternet kwa WiFi au kwa SIM card?
Mkuu unajua njia atakayokuwa anatumia kusambaza hiyo internet? Hata tumia njia anayotumia sasa hivi ya kufunga madishi yake. Atatumia njia mpyaUshabiki mbaya mambo sio marahisi kama watu wanavyodhani
Siyo ushabiki mkuu. Hebu niambie lengo gani Elon Musk aliliweka na hakulifikia? Mimi siyo shabiki wa Elon lakini ninachojua yule mwamba hajawahi kuweka lengo na akashindwa kulifikia licha ya changamoto mbalimbaliUshabiki mbaya mambo sio marahisi kama watu wanavyodhani
Sasa hivi starlink ni gharama kwa sababu anatumia madishi pia watumiaji wachache. Ila mwakani hata tumia madishi mkuu. Huduma ya internet ataitoa kama wanavyofanya NetflixBado tuna tatizo la kutoelewa bei ya bidhaa na uhalisia
Mkuu ni lini mageuzi makubwa yalitokea ghafla tu? Yeye mwenyewe amekiri kuwa network haitakuwa na kasi kubwa sana, lakini miaka ijayo itakuwa na kasi mkuuMjadala umefungwa
Kuna kampuni tayari zinatumia starlink hapa Tanzania.Je Tanzania itakubali ingie nchi?
Alisema huduma yake itakuwa na nguvu kubwa kiasi kwamba hakuna dead zone. Kwamba internet itapatikana sehemu zote duniani as long as umejiunga. Kwamba, hata uwe bondeni huko utaweza kuperuzi, tofauti na sasa hiviMusk kuuza kwa individual sizani aisee na ndiyo maana hapo mwenyewe umesema “baadhi ya kampuni” naamini itakuwa B2B
Mkuu hivi unajua kuwa watu waliofanikiwa kutuma vyombo kwenye Sayari Ya Mars ni Marekani, China na Elon Musk? Hebu niambie mkuu Elon Musk ametuma kama mtu binafsi na wakati wengi ni Nchi ndiyo zimetuma. Huoni uwezo wa Elon Musk?Yule ana akili lakin anapenda kick sana na mambo sio marahis kama watu wanavyochukulia
Mkuu kuna mageuzi yoyote uliyowahi kushuhudia, kusoma au kusikia yalitokea tu ghafla na kuwa bora? Mkuu hiyo simu unayotumia hapo sasa hivi ni simu bora kuliko simu uliyotumia mwaka 2015. Hata hivyo wewe mwenyewe unajua ukweli kuwa, ukichukua simu uliyokuwa unaitumia mwaka 2015 halafu uweke applications za sasa hivi simu yako haitakubali kuweka hizo applications, hata kama itakubali haitaweza kurun hizo applications. Naishia hapa, ila nadhani umeelewa namanisha nini hapahili la starlink tushalizungumzia sana starlink sasa hivi ipo kwenye majaribio nchi kadhaa za Africa kama Nigeria na Msumbiji
ada ya mwezi ni $99 (around 240,000) kwa kifurushi cha kawaida na premium ni dola 500 ambayo roughly ni 1.2m
hio ni satelite internet ambayo ina speed mbovu tu hasa latency, inauzwa laki 2 na 40 kwa mwezi, huwezi cheza games vizuri na vitu vingi ambavyo una live stream havitakua vizuri
fiber, 4g na 5g zote zina speed nzuri kuliko starlink, TTCL kuanzia 55,000, voda 5G kuanzia 120,000, zuku kuanzia 69,000 etc ni much better.
starlink waachie watu wa vijijini mkuu wenye pesa, haitaondoa mtandao wowote ule wa Tanzania.
Karibu 200,000+ per month in Europe- na inategemea na eneo, ila speed yake ni kubwa sana- Kyiv ind.Hapo hatujajua bei itakuwaje. Ingawa yule lazima ataleta ushindani mkubwa
Mkuu hiyo gharama ni kubwa kwa sababu ndiyo kwanza ana anza. Baada ya muda itapungua mkuu. Kama mtu ananunua king'amuzi kwa 160000 - 250000, na kulipia kila mwezi, mtu huyo hatashindwa kulipia gharama ya internet.Karibu 200,000+ per month in Europe- na inategemea na eneo, ila speed yake ni kubwa sana- Kyiv ind.
Ni nzuri sana makampuni, lakini kwa household ni mtihani upande wa gharama. Na inasaidia sana internet kwenye remote areas.
Kuna makala Kyiv independent wali-publish mwezi uliopita ikihusisha subject experts mbalimbali, wanasema speed yake ni kubwa sana na ni very secure, na ndo inasaidia critical infrastructures zote Ukraine hasa military kwenye ku-coordinate mashambulizi kupitia advanced systems mbalimbali.hili la starlink tushalizungumzia sana starlink sasa hivi ipo kwenye majaribio nchi kadhaa za Africa kama Nigeria na Msumbiji
ada ya mwezi ni $99 (around 240,000) kwa kifurushi cha kawaida na premium ni dola 500 ambayo roughly ni 1.2m
hio ni satelite internet ambayo ina speed mbovu tu hasa latency, inauzwa laki 2 na 40 kwa mwezi, huwezi cheza games vizuri na vitu vingi ambavyo una live stream havitakua vizuri
fiber, 4g na 5g zote zina speed nzuri kuliko starlink, TTCL kuanzia 55,000, voda 5G kuanzia 120,000, zuku kuanzia 69,000 etc ni much better.
starlink waachie watu wa vijijini mkuu wenye pesa, haitaondoa mtandao wowote ule wa Tanzania.
Mkuu tambua kuwa wagunduzi wote wakubwa walionekana ni too theoretical walipoanza safari yao. Ila baadae wote waliosema ni too theoretical walinyamaza kwa aibu. Pia wote waliogundua vitu vikubwa walionekana kama watu walio changanyikiwaHuwezi kukaa mars week nzima ukatoboa.
Idea zake ni theoretical sana, life in mars.
Eti duniani kuna siku haitakua salama
Jamaa anacheza na akili zetu
Mkuu kuna jambo gani liliwahi kuwa rahisi hapa duniani?Ndo maana nilimwambia muanzisha uzi aache ushabiki mambo sio marahisi kama anavyodhani
Ni very expensive.Mkuu hiyo gharama ni kubwa kwa sababu ndiyo kwanza ana anza. Baada ya muda itapungua mkuu. Kama mtu ananunua king'amuzi kwa 160000 - 250000, na kulipia kila mwezi, mtu huyo hatashindwa kulipia gharama ya internet.
Mkuu nashukuru sana kwa kulitolea ufafanuzi hili. Wengi wapo negative sana mkuuKuna makala Kyiv independent wali-publish mwezi uliopita ikihusisha subject experts mbalimbali, wanasema speed yake ni kubwa sana na ni very secure, na ndo inasaidia critical infrastructures zote Ukraine hasa military kwenye ku-coordinate mashambulizi kupitia advanced systems mbalimbali.