SWEET RIZIKI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 288
- 385
Nilijua peke yangu yaani hata ukiblock Namba Moja atakutumia kwa Namba nyingine. Mi nilihisi kuna watu wananifahamu wananifanyia tu usumbufu nashukuru kusikia na wengine yamewakuta. Mamlaka zinazohusika watutolee hizo kero jamani Namba zinaonekana hapo watafuteni mtusaidie.