Mitandao ya Kijamii: Wanataka systems zetu zife na hazifi

article

Senior Member
Sep 10, 2016
174
326
1481951269431.jpg

Sisi ni mitandao ya kijamii kama vile Jamii forums, Facebook, WhatsApp,Instagram,BBM,Skype tupo wengi sana na wengine sijawataja kwa kuwa bado nascan viruses na wenzetu wengine walianza zamani sana uwanamitandao kama vile wakina mig33 na Nimbuzz lakini kwa bahati mbaya wao hawakuwa maarufu kama sisi na hawakuwa na mashabiki wengi ulimwenguni kama Sisi nathani itakuwa ni kutokana na uchache wa Smartphones, Tablets,Phablets na Computers kwa kipindi hicho miongoni mwa wanamitandao wengi ukilinganisha na sasa.

Tumekuwa tukiwindwa na kuwekwa kwenye Search engines popote tulipo kwenye Active na Dormant network topologies kwa madai kwamba sisi ni viruses kwa Output yao kumalfunction na hivyo wanaandaa Recircle bin letu rasmi ikiwezekana tufikishwe huku Processors zetu zikiwa active tayari kwa kuflashiwa.

Baadhi ya Data zifuatazo zinatajwa kuwa ni za msingi kwenye kuauthenticate and kulaunch Cyberspace attacks kwa ajili ya kuua motherboards zetu na peripheral yeyote tunayomilki kwenye Topology :

1.Wanadai tunawalinda wadukuzi na kuwapa office tools za kuprocess games kwa kuwa bila sisi wasingepata hizo codes.

2.Wanadai tumechangia kuingilia networks za offsprings wao kwa kuwa kabla ya sisi walikuwa wana offsprings wazuri sana Kinetwork.

3.Wanadai tumeleta Pentiums na icores mpya ya kuugusanisha vikojoleo pia vinyeo na vikojoleo vya wamanitandao na wasio wanamtandao kinyume na professional code of ethics kwa kuwa kabla yetu hakukuwa na pentium na icores hizi.

4.Wanadai tunasaidia kukuza wenye softwares kinzani zisizo endelevu na kurudisha nyuma mixtape.

5. Wanadai tumeiingiza Desktops,raptops tabs, phabs na smartphones kwenye Cybercrime na hakuna security tena kwani kabla ya sisi kuja hapajawai kuwa na networks breakdowns wala firewalls intrusions.

6.Wanadai eti hatu recommend softwares na hardwares zao hata zile potential na kazi yetu ni kutroubleshoot na Kuignore signals za complex Machines na hata simple machines zao hivyo wanadai chamoto lazima tukione ikiwezekana kuua OSs zetu kwa sababu tunawakosesha Sleeping Mode.

7.Wanadai eti tunawakosesha kuprint Papers kwa sababu systems hazifanyi kazi zinashinda kwenye platforms zetu.

8.Mwishowe wanadai kwa sasa viruses wote kwenye networks chanzo chake ni sisi kwani kabla ya sisi hakukuwa na fatal Errors zozote.

Nawashauri waachane na Digital networks kwani huku watu wanabrowse,wanachat,wanaskype,wanapost hata Trojan horses na spywares ikiwezekana ,hivyo kama computers zao zipo kwenye networks lazima ziwe encrypted wakija na decriptable computers wadukuzi na viruses lazima wale Data zao, Disclaimer inapply hivyo Complaints hazitakiwi huku wala Antiviruses, huku Players wote wanajua Rules of the Game. Wale wa Analogy networks wanaweza wakabakia huko kuliko kuja kwenye Digital networks na kutaka kucollapse Servers zetu au kutupangia terms na conditions wakati sisi ndio tunamiliki intellectual properties.

Siyo recommended kwa wao kulauch fatality kwani bits watazo tumia zinaweza kuzidishwa kwao pia Hivyo nawaomba wasitishe Extinction Mode kwetu ili na wao wapate Safe Mode.

Mello,Zuckerberg, Nadella, Cook,Chen kwa kuwataja CyberAgents wachache bila kuwasahau cybersnipers wote kumbukeni kwamba Cyberspace ipo kwenye .com yetu hivyo turn the knobs digitally tupo kwenye flight mode tunazoom.

Start,

Article.
 
Nimekuelewa sana mkuu, ila wataarifu kuwa kuna VLSI nyingine mpya ambazo hazitahitaji .com yao, sababu ya end to end encryption hawatafanya lolote tena [HASHTAG]#freemexecencemello.[/HASHTAG]
 
Technology hii kwa sasa ni hatari sana kwa usalama wa mataifa hata mataifa makubwa ndiyo maana uwekezaji mkubwa ndani ya Serikali interns of human resources,taaluma na sophisticated equipment ni muhimu sana ktk kulinda taarifa zake.
 
Back
Top Bottom