isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,558
Twitch kajumuishwa katika kundi! Aisee hii ni Serikali, CCM au CCP?
Watu wakishachaguliwa unadhani hizo ilani wanaziheshimu tena?Wamefanya Kitu sahihi sana mana wamewapa raia wa kitanzania hususani mimi na wew ili tuweze kupitia ilani ya kila chama pamoja na será zao ili tukafanye maamuz yalio sahihi, tátizo Sio viongoz wajinga tatz n wajinga wanao chagua viongoz wajinga. Sio swala lá kueka mjadala wakuu hiii n kwa Léo tu kesho Mamb yatakua sawa
Unaandika kama vile umebanwa kunya.Wewe kenge una hangaika kama kuku anataka kutaga
Kwa miaka mitano yote siku mbili sio nyingi.Watu wanakosa safarii, wanapata hasara biashara hazitoki sababu ya uoga wenu why
Wageni watakao kosa safarii za ndege jeKwa miaka mitano yote siku mbili sio nyingi.
Mpaka sasa natumia vpn naingia popote.Mpk sasa sipati wasap,fb
Kweli Mimi hata Instagram haifungukNatumia Halotel now nusu saa sasa mimi pia haifunguki
Wanaandaa mazingira ya wizi.Najaribu kuingia YouTube lakini inagoma, kama nusu saa iliyopita nilikuwa naipata.
Kuna yeyote anapata tatizo kama langu?
Natumia Mtandao wa Tigo
PIA SOMA
= >Uchaguzi 2020 - Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu
Watumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo. PIA SOMA = > Leo Mitandao ya kijamii Tanzania Bara imekuwa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter na Telegram zimeguswawww.jamiiforums.com
Kuanzia jana saa tisa alasiri walituzimia mitandaoUpo Lumumba?
Utafundisha wangapi?Njoo uone ulijua wajinga Kama wewe watu tupo vizuri tunawafundisha wengine jinsi ya kurudi hewani
Uko nyuma sana bro. Ila kuna njia nyingi za ku bypass hizo issueKweli Mimi hata Instagram haifunguk
Hata mm mpaka nimeshangaa. Haifunguki fb WhatsApp SMS wala picha haziendiNajaribu kuingia YouTube lakini inagoma, kama nusu saa iliyopita nilikuwa naipata.
Kuna yeyote anapata tatizo kama langu?
Natumia Mtandao wa Tigo
PIA SOMA
= >Uchaguzi 2020 - Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu
Watumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo. PIA SOMA = > Leo Mitandao ya kijamii Tanzania Bara imekuwa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter na Telegram zimeguswawww.jamiiforums.com