kwa usalama wa taarifa
Nisaidie hiyo VPN na mimi maana za play store zote zimenigomeaHuijui VPN?
Hapana sio mpuuzi mkuuMpuuzi wewe
Shetani jiwe sijui alipataje kukalia kile kiti na kukinajisi.WhatsApp, Facebook na Instagram tayari zimezuiliwa Tanzania bara, hivi wewe unaona kulikua na ulazima wowote wa kufanya hivi?
Nisaidie hiyo VPN na mimi maana za play store zote zimenigomea
Naomba bossKwamuhitajj wa mzigo wa VPN ambao ni modded
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
HahahahaYaani wakifunga na hii jamii forum ndiyo basi tena hata sisi tusio kunywa inabidi tukajiliwaze tu bar. Kwa pamoja tutoe laana moja matata sana! haya mateso wanayo tupa ni makubwa sana.
Naomba bossKwamuhitajj wa mzigo wa VPN ambao ni modded
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Nitumie mkuu na mimi niwe kama nipo ulayaKwamuhitajj wa mzigo wa VPN ambao ni modded
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app