Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

Imagine jitu lipo ikulu badala ya kuhangaika na mambo ya msingi ya nchi hii kama vile uchumi,siasa safi,ajira kwa vijana,e.t.c linahangaika na kimtu kama Kigogo!
6789076.jpg
 
Nikitumia VPN simu yangu inakula sana chaji, nimeamua tu nikae kimyaa niachane na mambo ya Twitter hadi pale watakapoamua wenyewe kutufungulia.
 
Ni sawa na kutaka kuifungia JF kwasababu ya jukwaa moja tu nawakati 90% ya members sio wadau wa jukwaa hilo Jukwaa moja liathiri watu wa jukwaa kama 10
Kwani mkuu umesahau vibano vya Clouds TV na Wasafi TV?
 
Back
Top Bottom