Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,919
- 54,990
Wakuu habari zenu, leo kidogo tuzungumzie kuhusu hili la mitandao ya kijamii.
Siku hizi maisha yamegeuka sana, ni ngumu sana kudeal na stress na msongo wa mawazo hasa pale unapokuwa unapitia kipindi kigumu katika maisha.
~Umeachana na mpenzi wako uliyempenda sana, kesho unamuona facebook, instagram or WhatsApp anakula maisha na mpenzi mpya tena aliyekuzidi viwango.
~Unaperuzi facebook mara unakutana na picha za jamaa uliowaacha shule tena wale vilaza kabisa wanakula good time, wakati huo wewe upo tu nyumbani kwa shemeji na vyeti vyako vya chuo havina kazi.
~Hujabahatika kupata mtoto, unapita mitandaoni watu wanapost picha za birthday za watoto wao, huku upande wako mawifi wanakusakama kila kukicha kwamba unakula tu na kujaza choo.
~Au unapitia chats kwenye group unakutana na mapicha wenzako wote uliosoma nao wanaolewa huku wewe upo nyumbani umezalishwa huna mbele wala nyuma.
~Ni ngumu sana kukutana na hizo mambo ukapotezea, lazima zitakuathiri kwa kiasi flani na mara nyingi husababisha watu kupata hali ya upweke, mfadhaiko, wivu uliopindukia au kumfanya mtu awe depressed na mara chache watu huishia kujiua kabisa.
Siku hizi maisha yamegeuka sana, ni ngumu sana kudeal na stress na msongo wa mawazo hasa pale unapokuwa unapitia kipindi kigumu katika maisha.
~Umeachana na mpenzi wako uliyempenda sana, kesho unamuona facebook, instagram or WhatsApp anakula maisha na mpenzi mpya tena aliyekuzidi viwango.
~Unaperuzi facebook mara unakutana na picha za jamaa uliowaacha shule tena wale vilaza kabisa wanakula good time, wakati huo wewe upo tu nyumbani kwa shemeji na vyeti vyako vya chuo havina kazi.
~Hujabahatika kupata mtoto, unapita mitandaoni watu wanapost picha za birthday za watoto wao, huku upande wako mawifi wanakusakama kila kukicha kwamba unakula tu na kujaza choo.
~Au unapitia chats kwenye group unakutana na mapicha wenzako wote uliosoma nao wanaolewa huku wewe upo nyumbani umezalishwa huna mbele wala nyuma.
~Ni ngumu sana kukutana na hizo mambo ukapotezea, lazima zitakuathiri kwa kiasi flani na mara nyingi husababisha watu kupata hali ya upweke, mfadhaiko, wivu uliopindukia au kumfanya mtu awe depressed na mara chache watu huishia kujiua kabisa.