Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Mbona waoga hivyo wakati wanajiaminishia ushindi? Yaani kujitapa kote miaka 5 ya kuziba upinzani ndiyo wameishia Huku? Kukataliwa mchana kweupe? Ni fundisho kubwa mno. Kifupi hapo ni kuzuia kupeleka taarifa za uchaguzi. But watu wako clever na zitasambazwa tu.