Mitandao inayouza magari ina kasoro kubwa

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
14,982
9,873
Nimefatilia kwa muda mitandao (websites) inayouza magari hapa Tanzania. Nimewasiliana na watu zaidi ya kumi wamekataa kuwa hayo magari hawayajui na wameshangaa simu zao kutumika katika hayo matangazo.

Wengine wamekubali kuwa hayo magari ni yao nikawaomba wanionyeshe yalipo au tukutane hawakuwa tayari kunionyesha wala kukutana nao, hivyo kupata wasiwasi kama sio wezi basi ni matapeli wa mjini.

Wapo walioweka magari ya kwenye website za nje kama cartradeview na beforward lakini nilivyowaambia wanitumie picha za karibuni kuonyesha kuwa hayo magari wanayo hawakuwa tayari kufanya hivyo.

Ipo haja ya jeshi la polisi kufuatilia hii biashara ya vitu mitandaoni (online sales) ikiwemo magari ya mitandaoni naamini wapo wahanga wengi wa matukio haya ya kitapeli au kuuziwa magari ya wizi. Nimejaribu kufuatilia Contact za hizo website hazifanyi kazi wala email zao hazijibiwi, hivyo ni muhimu TCRA TRA na Jeshi la polisi kufuatilia hii mitandao ya uuzaji vitu ili kujiridhisha kuwa sio mitandao ya kihalifu.
 
Nimefatilia kwa muda mitandao (websites) inayouza magari hapa Tanzania. Nimewasiliana na watu zaidi ya kumi wamekataa kuwa hayo magari hawayajui na wameshangaa simu zao kutumika katika hayo matangazo.

Wengine wamekubali kuwa hayo magari ni yao nikawaomba wanionyeshe yalipo au tukutane hawakuwa tayari kunionyesha wala kukutana nao, hivyo kupata wasiwasi kama sio wezi basi ni matapeli wa mjini.

Wapo walioweka magari ya kwenye website za nje kama cartradeview na beforward lakini nilivyowaambia wanitumie picha za karibuni kuonyesha kuwa hayo magari wanayo hawakuwa tayari kufanya hivyo.

Ipo haja ya jeshi la polisi kufuatilia hii biashara ya vitu mitandaoni (online sales) ikiwemo magari ya mitandaoni naamini wapo wahanga wengi wa matukio haya ya kitapeli au kuuziwa magari ya wizi. Nimejaribu kufuatilia Contact za hizo website hazifanyi kazi wala email zao hazijibiwi, hivyo ni muhimu TCRA TRA na Jeshi la polisi kufuatilia hii mitandao ya uuzaji vitu ili kujiridhisha kuwa sio mitandao ya kihalifu.

hatuwezi kukataa kama hakuna utapeli na wizi katika kila biashara mtandaoni. si magari tu ni kila kitu. matapeli ni asilimia ndogo sana ya wauzaji na wanunuzi wasio na shida. nimeuza gari zaid ya tano kupitia advertising Dar, zoom Tanzania na hivi karibuni kupitia kupatana. nilishakutana na wanunuzi matapeli mara mbili.
tapeli mbaya na wa kumuhofia zaidi ni mnunuzi. ukitaka nikueleze kwa nini, ntakueleza.
 
hatuwezi kukataa kama hakuna utapeli na wizi katika kila biashara mtandaoni. si magari tu ni kila kitu. matapeli ni asilimia ndogo sana ya wauzaji na wanunuzi wasio na shida. nimeuza gari zaid ya tano kupitia advertising Dar, zoom Tanzania na hivi karibuni kupitia kupatana. nilishakutana na wanunuzi matapeli mara mbili.
tapeli mbaya na wa kumuhofia zaidi ni mnunuzi. ukitaka nikueleze kwa nini, ntakueleza.
Totoe tongotongo mkuu,tueleze.
 
hatuwezi kukataa kama hakuna utapeli na wizi katika kila biashara mtandaoni. si magari tu ni kila kitu. matapeli ni asilimia ndogo sana ya wauzaji na wanunuzi wasio na shida. nimeuza gari zaid ya tano kupitia advertising Dar, zoom Tanzania na hivi karibuni kupitia kupatana. nilishakutana na wanunuzi matapeli mara mbili.
tapeli mbaya na wa kumuhofia zaidi ni mnunuzi. ukitaka nikueleze kwa nini, ntakueleza.
Nashukuru kuwa changamoto ulizozipata ndio hizohizo zinawakumba na wengine, hivyo ipo haja ya serikali kutunga kanuni na kusimamia hizi biashara za mitandaoni, kama hii biashara ikisimamiwa vizuri kinaweza kuwa chanzo cha mapato ya serikali na ajira kwa watanzania. Naimani pamoja na kuuza magari matano kodi stahiki kama Capital gain tax hazikulipwa

Tukumbuke makampuni kama Alibaba Amazon ebay hayana bidhaa yanafanya udalali tu na ni makampuni tajiri yenye mchango mkubwa katika uchumi wa nchi na dunia, hivyo nasisi hatuna budi kutizama hii sekta nzima ya mitandao. Tusikae kusaka wanaotukana na kukosoa serikali tuangalie na fursa zilizopo na kuzijengea mazingira rafiki na wezeshi wananchi waweze kunufaika.
 
Nimefatilia kwa muda mitandao (websites) inayouza magari hapa Tanzania. Nimewasiliana na watu zaidi ya kumi wamekataa kuwa hayo magari hawayajui na wameshangaa simu zao kutumika katika hayo matangazo.

Wengine wamekubali kuwa hayo magari ni yao nikawaomba wanionyeshe yalipo au tukutane hawakuwa tayari kunionyesha wala kukutana nao, hivyo kupata wasiwasi kama sio wezi basi ni matapeli wa mjini.

Wapo walioweka magari ya kwenye website za nje kama cartradeview na beforward lakini nilivyowaambia wanitumie picha za karibuni kuonyesha kuwa hayo magari wanayo hawakuwa tayari kufanya hivyo.

Ipo haja ya jeshi la polisi kufuatilia hii biashara ya vitu mitandaoni (online sales) ikiwemo magari ya mitandaoni naamini wapo wahanga wengi wa matukio haya ya kitapeli au kuuziwa magari ya wizi. Nimejaribu kufuatilia Contact za hizo website hazifanyi kazi wala email zao hazijibiwi, hivyo ni muhimu TCRA TRA na Jeshi la polisi kufuatilia hii mitandao ya uuzaji vitu ili kujiridhisha kuwa sio mitandao ya kihalifu.
This is jamiiforums where we dare to talk openly . Plz tupatie hizo websites lada kuna watu wana expirience tofauti kuliko ku generalize hii issue.
.
 
Nimefatilia kwa muda mitandao (websites) inayouza magari hapa Tanzania. Nimewasiliana na watu zaidi ya kumi wamekataa kuwa hayo magari hawayajui na wameshangaa simu zao kutumika katika hayo matangazo.

Wengine wamekubali kuwa hayo magari ni yao nikawaomba wanionyeshe yalipo au tukutane hawakuwa tayari kunionyesha wala kukutana nao, hivyo kupata wasiwasi kama sio wezi basi ni matapeli wa mjini.

Wapo walioweka magari ya kwenye website za nje kama cartradeview na beforward lakini nilivyowaambia wanitumie picha za karibuni kuonyesha kuwa hayo magari wanayo hawakuwa tayari kufanya hivyo.

Ipo haja ya jeshi la polisi kufuatilia hii biashara ya vitu mitandaoni (online sales) ikiwemo magari ya mitandaoni naamini wapo wahanga wengi wa matukio haya ya kitapeli au kuuziwa magari ya wizi. Nimejaribu kufuatilia Contact za hizo website hazifanyi kazi wala email zao hazijibiwi, hivyo ni muhimu TCRA TRA na Jeshi la polisi kufuatilia hii mitandao ya uuzaji vitu ili kujiridhisha kuwa sio mitandao ya kihalifu.
Mi sijaelewa kweli,
Ni kama vile story imeanzia kati. Au unahadithia kwa namna ambayo ni kama vile huu mjadala unaendelea na wote tunaujua ulipoanzia
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom