Mitambo yetu bongo inakwama wapi? Kwanini simu za laini mbili; moja ikiwa inatumika (On call) ya pili inakuwa "Haipatikani" (Not available)?

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
Hili wataalam mnalionaje!!

Ikiwa simu yenye laini zaidi ya moja inatambulika kwa na IMEI number tofauti tofauti.
Inakuwaje mmiliki wa simu akiwa anaongea na simu yake kwa namba moja ile nyingine inakuwa haipatikani?

Kibaya zaidi wakati mwingine tatizo hilo huenda mbali zaidi kwa wengine namba zao za pili hujibiwa na ile autometed computer kuwa HAZIPO, HAZIPATIKANI .

Kuna baadhi ya coincidence mtu huyo huyo anaepigiwa simu kwenye namba yake ya pili, asipokee yeye badala yake simu inakwenda kwa mwingine tofauti na mlengwa!

Mfano; Lengo ni kumpigia mtu A kwenye namba yake ya pili zilizo kwenye simu yake moja, inakuwaje simu hiyo ujibiwe haipatikan/haipo au inapokelewa na mtu B, wakati mtu A akiwa anaongea na simu kwenye laini ya kwanza?

Wataalamu hebu naombeni ufafanuzi juu ya hili maana nafahamu kuna tofauti kubwa sana kimaana kati ya kuwa "Busy on another Call" na kuwa "Not available"

Ndoa zinavunjika, watu wanafukuzwa kazi n.k kwa matatizo kama hayo

Nakumbuka kuna Mkurugenzi mmoja alipigiwa simu ikawa haipatikani akatumbuliwa juu kwa juu kwa kosa la kuzima simu; Yamkini huenda alikuwa anaongea na simu nyingine!

Je; wasimamizi wa mawasiliano bongo hilo mnalitatuaje kuepusha kuwagombanisha watu?
 
Nadhani ni case ya SIMU husika.

Kama sina kumbukumbu vizuri nilions feature ya kuenable hiyo system kwenye simu ya samsung.

Ngoja wengine waje

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hiyo feature ya SAMSUNG haina maana hiyo nilikua nikiwaza.

Hapo wikipedia wameeleza vizuri kuhusu dual sim.

Shida ni simu kuwa na TRANSRECEIVER MOJA.
IMG20200311141150.jpeg
Screenshot_2020-03-11-14-11-27-05.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe hiyo feature ya SAMSUNG haina maana hiyo nilikua nikiwaza.

Hapo wikipedia wameeleza vizuri kuhusu dual sim.

Shida ni simu kuwa na TRANSRECEIVER MOJA. View attachment 1384116View attachment 1384117

Sent using Jamii Forums mobile app
Reply yako cimment #2 ndiyo sahihi ingawa umejikanusha kwa hii.

Ninadhani sazingine ni uwezo wa simu, pia feature hiyo inadownlodiwa kuruhusu doule sim.

Mbona mimi wakati ninaongea, line2 inapopigwa ninasikia, kisha anayepiga anajulishwa automatically kwamba 'unayempigia anaongea na simu nyingine' ama simu yako 'imesubirishwa', kisha nikimaliza na line#1 ninakuta miss call ama sms inadisplay kwenye kioo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reply yako cimment #2 ndiyo sahihi ingawa umejikanusha kwa hii.

Ninadhani sazingine ni uwezo wa simu, pia feature hiyo inadownlodiwa kuruhusu doule sim.

Mbona mimi wakati ninaongea, line2 inapopigwa ninasikia, kisha anayepiga anajulishwa automatically kwamba 'unayempigia anaongea na simu nyingine' ama simu yako 'imesubirishwa', kisha nikimaliza na line#1 ninakuta miss call ama sms inadisplay kwenye kioo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu jaribu hapo kama unadabo line
 
Reply yako cimment #2 ndiyo sahihi ingawa umejikanusha kwa hii.

Ninadhani sazingine ni uwezo wa simu, pia feature hiyo inadownlodiwa kuruhusu doule sim.

Mbona mimi wakati ninaongea, line2 inapopigwa ninasikia, kisha anayepiga anajulishwa automatically kwamba 'unayempigia anaongea na simu nyingine' ama simu yako 'imesubirishwa', kisha nikimaliza na line#1 ninakuta miss call ama sms inadisplay kwenye kioo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kidogo wikipedia wamenipeleka kingi

Mana hata mimi nilikua najua hiyo feature na wanayo samsung

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom