Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wanajanvi wenzangu naomba kuuliza swali! Hivi tokea utawala wa raisi wa kwanza baba wa taifa Julius Nyerere halafu akafuatia mzee Ali Hassani Mwinyi awamu ya pili na baada ya hapo awamu ya tatu akaja Benjamin Mkapa, mbona sijasikia walishaagiza mitambo mipya ya kufua umeme? Mitambo ninayoijua ni ileile ya zamani iweje kwenye utawala huu wa JK tuaagiza mitambo mipya ya kufua umeme? Nawasilisha na naomba mnisaidie kujua.