Mitafaruku Duniani Jaribu kufikiri nje ya box

green rajab

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
11,305
35,852
Mataifa makubwa hapa duniani mfano G7 hua na mifumo ya kimaslahi ya muda mrefu ili kujipatia utajiri wa kiuchumi, nguvu ya kisiasa na Kijeshi mfano usikute D.Trump na rais wa N Korea wanawasiliana vizuri tu na wanacheka safi kabisa ila ki nachowaunganisha maslahi Marekani ili iendelee kukaa South Korea, Japan na Philippine inabidi North Korea iendelee kua tishio Ili Marekani aendelee kuuza silaha kwa hizo nchi na pia Marekani lazima aifanye Iran kua tishio kwa mashariki ya kati ili aendelee kuuza silaha Saud arabia, Jordan, Kuwait, Pakstan na nk Upande wa Ulaya anaitangaza Russia kua adui ili a supply silaha nchi za NATO, Hali kadhalika China dhidi ya jirani zake India, Taiwani, Vietnam. Ukiangalia juzi USA amefanya jaribio la kudungua ICBM anajiandaa kufanya biashara na West Europe dhidi ya Russia Pia tumeona Russia inavyoanza kuuza silaha zake baada ya kuzifanyia Promo Sryia kwa hiyo haya yanayoendelea hapa duniani yanapangwa watu wachache wenye maslahi yao mfano kueneza magonjwa ili kuuza madawa na viwanda viendelee kuingiza faida pia
 
Mkuu unachosema kipo na kinawezekana kabsa, ila uhalisia wa hichi kitu unahitaji mtu ufikiri nje ya box kama ulivyosema kama mtu anajua vizuri historia utajua kuwa mgogoro unaoendelea mashariki ya kati unasababishwa na uwepo wa taifa la ISRAELI eneo lile, tunajua kabsa israeli ni dola iliyoundwa na kuanzishwa rasmi mwaka 1948 na UN baada ya kuwa wamefukuzwa kutoka eneo lile kwa miaka nenda rudi, so baada ya ISRAEL FAKE KUANZISHWA ndiyo nchi za kisalamu zikawa zinapinga na hatimae kukawa na vita kadha wa kadha, lakin cha kujiuliza nn kwann leo hii IRAN na SYRIA peke ndiyo wanaoipinga ISRAEL na haohao ndiyo wenye mahusiono ya ukaribu na RUSSIA na si USA au NATO, fikiria nje ya box pia. Ukiachana na hilo, historia pia inaonyesha kuwa kuna kipindi huko nyuma utawala wa PAPA ROMAN CATHOLIC CHURCH uishawahi kuhamisha makao yake toka italy na kuenda ISTANBUL hii ya uturuki ya leo, then baada ya hapo kulikuja kutokea muunganiko flani hivi dini baina ya RC na dini zingne katika eneo hilo, but huu muunganiko haukudumu sana, coz tofauti zilijitokeza na hatimae huu munganiko ukawaganyika kama ifuatavyo, Upande mmoja ulitoka na kuanzisha kanisa linalojulikana kama ORTHODOX CHRISTIANITY hawa orthodox walihama na kuenda kuanzisha makazi yao MOSCOW ambao ndiyo RUSSIA ya leo, wengne walibaki hapo uturuki na ROMAN CATHOLIC CHURCH walirudisha makao yao ROME italy ambayo ndiyo VATICAN ya leo, so kuna mambo mengi yametokea baada ya hapo, lkn mgogoro mkubwa baina ya RUSSIA na USA na washirika wake unaanzia kwenye hii ishu, coz kuna watu wanapush mambo ya NWO (new world order) coz for this to happen in one way or another all religions must unite to be one, sasa hawa orthodox wamekuwa wakigoma kuungana na wengne, so wanamuona russia kama kikwazo kwa mambo yao, ndiyo maana wanamzunguka kijeshi coz target yao kubwa siku moja ni kuiondosha RUSSIA, juzijuz hapa nchin Russia JEHOVA WITTINESS wamepigwa marufuku. So ishu kubwa hapa ni mipango ya dunia mpya chini ya watu flani against wale wanaopinga mipango hiyo.
 
Back
Top Bottom