kidereko
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 882
- 1,254
Nani kakudanganya kuwa huko alipo anapumzika, usikute analimia meno saizi!!Muache mzee Jpm apumzike...tuongelee yanayotuhusu sisi tuliyopo.
Nani kakudanganya kuwa huko alipo anapumzika, usikute analimia meno saizi!!Muache mzee Jpm apumzike...tuongelee yanayotuhusu sisi tuliyopo.
Katiba mpya hazizuzii kina Magufuli.Missile of the Nation
Dawa katiba mpya,mengine mbwembwe,wanaojaribu kulipotosha taifa,kwa kisingizio cha uzalendo,ni wahalifu kama wahalifu wengine.
Ninachoweza kusema MUNGU FUNDIMy take, huyu mzee alikuwa amejipanga kubrainwash watu ili apewe muhula mrefu wa kutawala nchi
Shída ni mifumo isiyo imara inayoendekezwa na udhaifu unaotoa mwanya kwa mazingira ya iliyopo .Katiba mpya hazizuzii kina Magufuli.
Kina Magufuli huwa hawafuati KATIBA.
Tuambie wanajukwaa yapi yanakuhusu na yapi hayakuhusu,ili nasi tujue yanayotuhusu nasi.Muache mzee Jpm apumzike...tuongelee yanayotuhusu sisi tuliyopo.
mungu mwema sanaThey wanted to impart wrong stories in our future generations and claim it is their history. No wonder this man is dead
Katiba zinajengwa na kulindwa na watu.Shída ni mifumo isiyo imara inayoendekezwa na udhaifu unaotoa mwanya kwa mazingira ya iliyopo .
Iko hivi mifumu imara isiyoweza kuingiliwa kisiasa hujenga watu imara,vyinginevyo,mifumo dhaifu hutengeneza watu dhaifu na mwisho wa siku vyote dhaifu.Katiba zinajengwa na kulindwa na watu.
Usitegemee katiba ndio itaandamana badala yako pale haki zako zitakapokiukwa.
Kama watu hawajawa tayari kwa hilo hakuna namna ya kulifanya.
Siku watu wakihitaji katiba mpya, itapatikana ndani ya muda mfupi tu. Sasa hivi wananchi wa kawaida bado wanaona katiba mpya hakuna namna itawasaidia kuwaletea tonge mezani.
Talking of the imaginations. Get back to reality.Iko hivi mifumu imara isiyoweza kuingiliwa kisiasa hujenga watu imara,vyinginevyo,mifumo dhaifu hutengeneza watu dhaifu na mwisho wa siku vyote dhaifu.
Yupo kwa Mungu JPMNani kakudanganya kuwa huko alipo anapumzika, usikute analimia meno saizi!!
ndio maana MWENYEZI MUNGU Akamtwaa mapema kabla hajaialibu kabisa nchi yetuMuache mzee Jpm apumzike...tuongelee yanayotuhusu sisi tuliyopo.
Uizia Wizara ya Ujenzi alikokuwa, he was a forgerer all along.My take, huyu mzee alikuwa amejipanga kubrainwash watu ili apewe muhula mrefu wa kutawala nchi
Yote unayajua ila kwakuwa unayaona manufaa katika madhaifu yaliyopo unajidai kuwa huelewi.Talking of the imaginations. Get back to reality.
Mifumo imara ikoje ?
Mifano ?
Hujengwaje ?
Anyway, badilisha hayo madhaidubyawe strong.Yote unayajua ila kwakuwa unayaona manufaa katika madhaifu yaliyopo unajidai kuwa huelewi.
Utii wa sheria,utekelezaji wa Katiba kwa mwenye mamlaka na asiye na mamlaka,utawala wa sheria,uhuru wa mihimili ni miongoni mwa machache yanayohitaji kuzingatiwa kwa ustawi bora wa taifa lolote.Talking of the imaginations. Get back to reality.
Mifumo imara ikoje ?
Mifano ?
Hujengwaje ?
Hayo wanaweza wazalendo wakweli tu,ila sii wazalendo maslahi.Anyway, badilisha hayo madhaidubyawe strong.