chademaistheway
Senior Member
- Aug 18, 2010
- 100
- 86
Sasa mmejiuliza kwa nini wanatumia kiingereza tena kigumu kwenye miswada ile?
Mbaya zaidi CHADEMA hawalalamiki kuhusu hizi sheria zinazotungwa na Bunge. Makes you wonder kama na wao wamo kwenye conspiracy to make us stupid and ******
Hivi mtu yuko kijijini na hajui kiingereza ataweza kweli kuuliza kitu?
Mbaya zaidi CHADEMA hawalalamiki kuhusu hizi sheria zinazotungwa na Bunge. Makes you wonder kama na wao wamo kwenye conspiracy to make us stupid and ******
Hivi mtu yuko kijijini na hajui kiingereza ataweza kweli kuuliza kitu?