mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Wanakua hivyochadema ni watoto, mnafahamu jinsi watoto walivyo, ...
Wanakua hivyochadema ni watoto, mnafahamu jinsi watoto walivyo, ...
Nyie ndo mlituripotia kwamba Mnyeti kapita bila kupingwa,nyie hao hao ndo mnaturipotia tena kwamba Mgombea wa Chadema karudisha fomu. Acheni kuvuta bangi mbichi mtajikuta mnakunya kinyesi rangi ya tairiNi kweli kwamba Mgombea wa CHADEMA, Mwl Shija alivamiwa na watu waliotumwa kumpora fomu ili akose uteuzi kwa malengo ya kumpitisha Mnyeti bila kupingwa lakini alichoporwa ni fomu feki.
Amewasilisha fomu halisi kwa Mkurugenzi na ameteuliwa, anazo nyaraka zote za tume za kumtambulisha kama mteule kwa hiyo hizo porojo kwamba Mnyeti kapita bila kupingwa zipuuzwe, atalazimika kuutafuta ubunge jukwaani.
View attachment 1548289
yaweza kuwa sababu kuuChama kile kinaongozwa na wahuni washamba
usitutie majaribuniNyie ndo mlituripotia kwamba Mnyeti kapita bila kupingwa,nyie hao hao ndo mnaturipotia tena kwamba Mgombea wa Chadema karudisha fomu. Acheni kuvuta bangi mbichi mtajikuta mnakunya kinyesi rangi ya tairi
Wanaoshangilia ni macccmUhuni huu utaisha kwa Watanzania kuukataa tu. Ajabu kuna kundi kubwa wanaushangilia kwa vigelegele. Maadili yetu kama Taifa yamekwenda wapi?
Wanaoshangilia ni macccm
Nikimuangalia huyu dogo usoni, tayari Mnyeti anahitaji reasoning kubwa badala ya mazoea ya ya kiburi cha mkuu wa mkoa. Dogo ana mtaji na mara nyingi ukiweka mbinu kama hizo za kuteka watu, unaongeza umaarufu wa mtekwaji.Ni kweli kwamba Mgombea wa CHADEMA, Mwl Shija alivamiwa na watu waliotumwa kumpora fomu ili akose uteuzi kwa malengo ya kumpitisha Mnyeti bila kupingwa lakini alichoporwa ni fomu feki.
Amewasilisha fomu halisi kwa Mkurugenzi na ameteuliwa, anazo nyaraka zote za tume za kumtambulisha kama mteule kwa hiyo hizo porojo kwamba Mnyeti kapita bila kupingwa zipuuzwe, atalazimika kuutafuta ubunge jukwaani.
View attachment 1548289
Nooo! Nadhani Mnyeti mwenyewe ndo feki tu! Sehemu nyingi pesa imetumika kuwalaghai wapinzani. Kuna hadithi hata Moro mjini yule mdada kajifanya maimuna na kukosea kuijaza fomu baada ya kurekebishiwa uchumi wake.Sio alitengeneza sinema, maana saccos ni mabingwa wa kutengeneza sinema za kihindi
Chadema mnakwama wapi?Ni kweli kwamba Mgombea wa CHADEMA, Mwl Shija alivamiwa na watu waliotumwa kumpora fomu ili akose uteuzi kwa malengo ya kumpitisha Mnyeti bila kupingwa lakini alichoporwa ni fomu feki.
Amewasilisha fomu halisi kwa Mkurugenzi na ameteuliwa, anazo nyaraka zote za tume za kumtambulisha kama mteule kwa hiyo hizo porojo kwamba Mnyeti kapita bila kupingwa zipuuzwe, atalazimika kuutafuta ubunge jukwaani.
View attachment 1548289
Ukiwaambia watu kuwa watanzania bado tumeshenzika wanatoa mapovu. Hatuna weledi wala maadili yanayo endana na haki pamoja na amani. Tunataka kulazimisha amani bila haki. Shenzi sana (kwa sauti ya Ndugu Francis Atwoli wa Kenya).Uhuni huu utaisha kwa Watanzania kuukataa tu. Ajabu kuna kundi kubwa wanaushangilia kwa vigelegele. Maadili yetu kama Taifa yamekwenda wapi?
Kuendelea kuwa na negativities/kung'ang'aniza mawazo hewa kama yako ni kama kubishana kwa kutumia kiuno.Inaweza kuwa kikundi kutoka wapinzani wake kwani huko wana Historia ya kupeana sumu ya mamba n.k
Kuendelea kuwa na negativities/kung'ang'aniza mawazo hewa kama yako ni kama kubishana kwa kutumia kiuno.Inaweza kuwa kikundi kutoka wapinzani wake kwani huko wana Historia ya kupeana sumu ya mamba n.k
Hata Polisi nchi hii hakuna na nakuhakikishia Sirro aweza kuwa ndio RPC wa hovyo kabisa kuwahi kuwepo nchi hii
Shangaa kama wengi wetu tunavyoshangaa!Miaka yote wanaojua kujaza fomu ni CCM pekee?
Hiyo ni mipango yake mwenyewe ya kutengeneza movieMmepigwa kekundu wapuuz nyie mmechukua copy mkaacha form original wajinga kweli na hio ndo dawa yenu
Kama yako, maana ungekuwa na positive mind ungesubiri taarifa za pande zote mbili au muamuzi wa Kati na sio ku take sides, hivyo wewe unaonyesha ni mkate viuno squareKuendelea kuwa na negativities/kung'ang'aniza mawazo hewa kama yako ni kama kubishana kwa kutumia kiuno.
Ahahahahahahah! Niulize mimi niliye jirani na Missungwi. Mwl. Shija akipata kura elfu moja (1,000/=) nitamtafuta na kumpa mkono wa pongezi.Pia mnyeti hatoboi