Kuna mishale inafanana na bastola ambayo haina complication ktk kuipata kwake inauzwa Tanganyika arms na sehem nyingine zinazouzwa silaha sijajua kwa sasa kama wamebadili masharti ya upatikanaji wake. Ukiwa nayo inasaidia sana mm kuna sehem nakaa kuna siku wakajichanganya nilitoka kwa siri nikamuachia mshale mmoja wa mgongoni maana alivamia jirani yetu na mapanga hakuna aliyethubutu kusogelea yule alivyopiga kelele wote walitimka. Lakini inauwezo wa kuuwa ila yule nilimlenga kiunoni makusudi.Dawa nikumiliki siraha ya moto tu.