Wakuu habari zeni,naomba msaada wenu ,kuhusi hili basi langu,abalo lina tumia pump ya umeme tatizo lake ni kwamba
Ukiiwasha gari asubuhi na mapema inawaka vizuri tu,itafanya ruti zaka kama kawaida ila inapofika mchana ukiizima gari ,na ukiamua kiasha tena basi hapo haiwaki mpaka isukumwa .baada kama wiki moja au mbili huwa inakubali tatizo linaondoka ,lakini hujirudia rudia kila mara .wakuu tatizo hili linanitesa kweli nimejaribu kuuliza mafundi wengi wananiambia badilisha betri mara hiki mara kila hakuna lililokuwa yaani hasra kibao.na hili bus bado bichi kabisa,wakuu naombeni msaada wenu nini kifanyike ili tatizo hili liondoke asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiiwasha gari asubuhi na mapema inawaka vizuri tu,itafanya ruti zaka kama kawaida ila inapofika mchana ukiizima gari ,na ukiamua kiasha tena basi hapo haiwaki mpaka isukumwa .baada kama wiki moja au mbili huwa inakubali tatizo linaondoka ,lakini hujirudia rudia kila mara .wakuu tatizo hili linanitesa kweli nimejaribu kuuliza mafundi wengi wananiambia badilisha betri mara hiki mara kila hakuna lililokuwa yaani hasra kibao.na hili bus bado bichi kabisa,wakuu naombeni msaada wenu nini kifanyike ili tatizo hili liondoke asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app