mistake ya mwaka map za apple zafeli kwenye iphone kiasi cha kutia aibu

Chief-Mkwawa

Platinum Member
May 25, 2011
30,714
39,795
Kuanzia mwaka 2007 iphone wanatumia google maps katika simu zao. Hivi karibuni iphone wakazindua simu yao inayoitwa iphone 5 na wakasema watatumia maps zao lakini mambo yamekua kama vichekesho.

Maps za iphone mpya zimekua mbovu haijapata kutokea na hili halijabainika hadi watu wameanza kununua iphone mpya

tumblr_manirsH2xh1rhptwbo1_1280_gallery_post.jpeg


Hio ni barabara mbele kuna kama bonde wakati kiukweli halipo

Kwenye mambo ya 3d (nokia wana city lens more advanced than 3d) wao bara bara 3d zilionekana kama hivi
RH2PU_gallery_post.jpeg


La kushangaza kama si lakusikitisha hadi majengo yao wao apple hayapatikan kwenye ramani ukisearch no result found

photo_1.jpg


Je huu ndo mwanguko wa iphone??
 
Je huu ndo mwanguko wa iphone??

sio mwanguko wa iphone na wala sioni kama itabadilisha chochote kwa sales in iphone. hii ni coz apple wanatarget loyal customers (apple fanboys & Americans) ambao mpaka wa leo wanaona poa kupata the same old design and interface. nakumbuka siku za symbian kufa, ni coz ilisemwa kuwa ni *the same old thing* na walioisema sana ni hawa phone reviewers kama gsmarena na ukiangalia, kitu kama poor reception in the iphone 4 haikuzuia kuuza kwake. we sikilizia tu, apple watakuja na solution na their dear customers will camp nights at shops waiting to buy the new iphone
 
BUG!!! daaah! hii ni nouma nahisi watakuja na bug-fix hivi karibuni na watatoa updates kumaliza hilo tatizo. Lakini hii haimaanishi ndo apple inaanguka. Windows 98 ilikuwa na makosa mengi sana Microsoft wakaja na windows 98SE mpaka sasa wanapeta. Naamin hilo tatizo watalimaliza hivi karibuni.
 
BUG!!! daaah! hii ni nouma nahisi watakuja na bug-fix hivi karibuni na watatoa updates kumaliza hilo tatizo. Lakini hii haimaanishi ndo apple inaanguka. Windows 98 ilikuwa na makosa mengi sana Microsoft wakaja na windows 98SE mpaka sasa wanapeta. Naamin hilo tatizo watalimaliza hivi karibuni.

Loh wataupdate mara ngapi? Bug ya 2 hii ya kwanza ni wifi zilikua mpaka zidirect na aple wakatoa update ikafix now map hizi zote hizi ni watu wachache wanazo i wonder zikiwa public zitakuwaje
 
sio mwanguko wa iphone na wala sioni kama itabadilisha chochote kwa sales in iphone. hii ni coz apple wanatarget loyal customers (apple fanboys & Americans) ambao mpaka wa leo wanaona poa kupata the same old design and interface. nakumbuka siku za symbian kufa, ni coz ilisemwa kuwa ni *the same old thing* na walioisema sana ni hawa phone reviewers kama gsmarena na ukiangalia, kitu kama poor reception in the iphone 4 haikuzuia kuuza kwake. we sikilizia tu, apple watakuja na solution na their dear customers will camp nights at shops waiting to buy the new iphone

Nakubaliana na wewe kua haitaathiri mauzo na reason ni base yao ya wateja wa zamani wenye iphonr 4 na 4s ila itaathiri feature ya simu zao kwa sababu lazima simu hizi zitawakera watu na hata ikija kutoka iphone 5s kwasababu ya experience mbaya ya 5 itaathiri mauzo yake.
 
Loh wataupdate mara ngapi? Bug ya 2 hii ya kwanza ni wifi zilikua mpaka zidirect na aple wakatoa update ikafix now map hizi zote hizi ni watu wachache wanazo i wonder zikiwa public zitakuwaje

basi ukiangalia fastafasta utagundua kwamba hawa jamaa wanatamaa cdhani kama nimetumia nen sawa lakini ntakua nimeeleweka em tuangalie ni kipindi gani kinapita mpaka wao kurelease product mpya. Angalia lini wamelirease iphone4 na lini wamerelease 5 na suksesa wake harakaharaka haina baraka
 
Kuanzia mwaka 2007 iphone wanatumia google maps katika simu zao. Hivi karibuni iphone wakazindua simu yao inayoitwa iphone 5 na wakasema watatumia maps zao lakini mambo yamekua kama vichekesho.

Maps za iphone mpya zimekua mbovu haijapata kutokea na hili halijabainika hadi watu wameanza kununua iphone mpya

tumblr_manirsH2xh1rhptwbo1_1280_gallery_post.jpeg


Hio ni barabara mbele kuna kama bonde wakati kiukweli halipo

Kwenye mambo ya 3d (nokia wana city lens more advanced than 3d) wao bara bara 3d zilionekana kama hivi
RH2PU_gallery_post.jpeg


La kushangaza kama si lakusikitisha hadi majengo yao wao apple hayapatikan kwenye ramani ukisearch no result found

photo_1.jpg


Je huu ndo mwanguko wa iphone??
Acha kupotosha chief Kunabaazi ya vitu naakubaliana na wewe na baazi sikubaliani. kwanza nakubali hilo la map kutokea vibaya hiyo ni tatizo dogo tu lakiufundi "bug" alafu pili ujue hizi map za Iphone sasa apple wapo wanashirikiana na tomtom ambao ndo ze best kwenye maps za gps ukitoa zakwetu tulio zoea za google. Halafu hayo mambo ya maps za 3g hazi effect watuwengi sana na wanye vitu vya apple walishaambiwa ni kwaajili ya miji michache tuu. Na siyo kwamba hili tatizo limejulikana baada ya kununua iphone 5. Kaglich kamejulikana baada ya ku upgrade to new iOS 6 from iOS 5 kwa wale wanaotunia iphones,ipads na ipods. Lakini licha ya hili bado wateja wa apple wamejitokeza kwa maelfu na kusubiria kununu iphone leo, Australia ndio walikuwa wa kwanza picha hii hapa
ifixit_telstra_iphone_5_line.jpg

Najua hii haitokeagi kwa nokia wala sumsung nitaendelea kuwajulisha zaidi picha zitzkapo endelea kumiminika online.Apple hawana makuu ni wateja tuu wanafurahia bizaa kwa ujumla ndo maana wanakeshea kununua hata kama wanajua ina tatizo apple watalimaliza. Kiufupi Hakunaga kama apple for now...... but this will not last forever. Kunakipindi nokia walikuwa kiboko pia, hata mimi nilikuwa nawakubali, hawafanyi vibaya kwa kampuni iliyoanza kwa kuuza karatasi....

Mabosi wa Nokia na Sumsung sasa nazani wapokwenye hali hii
sad-man-silhouette.jpg
pole zao ni biashara
657271-iphone5-fans.jpg

661404-iphone-5-launch-in-sydney.jpg


625162-steve-wozniak-at-brisbane-apple-launch.jpg

Steve Wozniak Co founder wa Apple naye alikuwepo huko Queensland for the release of the iPhone 5 at Chermside Apple store
656497-iphone5-fans.jpg


Ching Chongs nao walikuwapo

Read more: http://www.news.com.au/technology/a...ue/story-e6frfro0-1226478600390#ixzz274eYBFgh
 
Acha kupotosha chief Kunabaazi ya vitu naakubaliana na wewe na baazi sikubaliani. kwanza nakubali hilo la map kutokea vibaya hiyo ni tatizo dogo tu lakiufundi "bug" alafu pili ujue hizi map za Iphone sasa apple wapo wanashirikiana na tomtom ambao ndo ze best kwenye maps za gps ukitoa zakwetu tulio zoea za google. Halafu hayo mambo ya maps za 3g hazi effect watuwengi sana na wanye vitu vya apple walishaambiwa ni kwaajili ya miji michache tuu. Na siyo kwamba hili tatizo limejulikana baada ya kununua iphone 5. Kaglich kamejulikana baada ya ku upgrade to new iOS 6 from iOS 5 kwa wale wanaotunia iphones,ipads na ipods. Lakini licha ya hili bado wateja wa apple wamejitokeza kwa maelfu na kusubiria kununu iphone leo, Australia ndio walikuwa wa kwanza picha hii hapa
ifixit_telstra_iphone_5_line.jpg

Najua hii haitokeagi kwa nokia wala sumsung nitaendelea kuwajulisha zaidi picha zitzkapo endelea kumiminika online.Apple hawana makuu ni wateja tuu wanafurahia bizaa kwa ujumla ndo maana wanakeshea kununua hata kama wanajua ina tatizo apple watalimaliza. Kiufupi Hakunaga kama apple for now...... but this will not last forever. Kunakipindi nokia walikuwa kiboko pia, hata mimi nilikuwa nawakubali, hawafanyi vibaya kwa kampuni iliyoanza kwa kuuza karatasi....

Mabosi wa Nokia na Sumsung sasa nazani wapokwenye hali hii
sad-man-silhouette.jpg
pole zao ni biashara

Kwanza sio kweli tomtom ni best katika map zote duniani best ni nokia maps even google map haifikii nokia maps hilo lipo dhahiri hasa city lens ni next generation.

Then unaposema napotosha kama vile hii habari nimegundua mimi hii habari nimeitoa the verge, hawa the verge chini ya tom warren ni moja ya makampun makubwa yanayofanya analysis za simu na mtaalam yoyote wa haya mambo ya gadgets lazima awe ana waheshimu.

Kama unakumbuka video fake za matangazo ya nokia hawa jamaa ndio waliogundua mpaka nokia wakawaita hedquaters zao waone kwa macho (ushaona sio kiblog cha mtaa ni serious company)

Tena for ur information hii habari nimeifupisha kuna mambo ya aibu makubwa kama miji ya tokyo na beijing kuwa blank, na 3d ambayo macho haiwezi kuona

Hapa japan
compare_medium.png


Hii map full loaded hadi mwisho

Google-Maps-vs-Apple-Maps-satelite-imagery_medium.jpeg


Na source hii hapa nakupa nenda kakutane na vichwa huko waambie

Wrong turn: Apple's buggy iOS 6 maps lead to widespread complaints | The Verge
 
Apple Apple Apple 1day wata loose hao royal customers wao waache waendelee kuleta utani tu.
 
Kwanza sio kweli tomtom ni best katika map zote duniani best ni nokia maps even google map haifikii nokia maps hilo lipo dhahiri hasa city lens ni next generation.

Then unaposema napotosha kama vile hii habari nimegundua mimi hii habari nimeitoa the verge, hawa the verge chini ya tom warren ni moja ya makampun makubwa yanayofanya analysis za simu na mtaalam yoyote wa haya mambo ya gadgets lazima awe ana waheshimu.

Kama unakumbuka video fake za matangazo ya nokia hawa jamaa ndio waliogundua mpaka nokia wakawaita hedquaters zao waone kwa macho (ushaona sio kiblog cha mtaa ni serious company)

Tena for ur information hii habari nimeifupisha kuna mambo ya aibu makubwa kama miji ya tokyo na beijing kuwa blank, na 3d ambayo macho haiwezi kuona

Hapa japan
compare_medium.png


Hii map full loaded hadi mwisho

Google-Maps-vs-Apple-Maps-satelite-imagery_medium.jpeg


Na source hii hapa nakupa nenda kakutane na vichwa huko waambie

Wrong turn: Apple's buggy iOS 6 maps lead to widespread complaints | The Verge
Wacha propaganda hii ni picha imepigwa leo leo ya maps za ios6 bongo tunakula nayo bata inamitaa mingi zaidi ya google map yeyote ambaye anatumia iOS anaweza bisha. Sasa hapo Chief sijui utabisha nini?
image.jpg
maps za zamani pia zilikuwa zinanipoteza,hizi sasa zinamitaa mingi zaidi na kitanzania ninzuri zaidi. Nasema hivyo kwavile map za google ni siye wenyewe tuna update na watanzania hatutaki kujitolea kufanya hilo lol. Kwa vyovyote vile hizi map mpya zitakuwa nzuri kwetu ndani ya miezi sita au hata mwaka. Manake sasa hivi tuu ni poa ila nina miss majengo majengo na vituo kwenye google kidogo vipo. Lakini pia google wameshatoa app yao kwa apple waiweke kwenye app store kwa downloading nazani pia wataleta vitu super sana manake sasa wanamshindani shupavu
 
Wacha propaganda hii ni picha imepigwa leo leo ya maps za ios6 bongo tunakula nayo bata inamitaa mingi zaidi ya google map yeyote ambaye anatumia iOS anaweza bisha. Sasa hapo Chief sijui utabisha nini?
View attachment 65606
maps za zamani pia zilikuwa zinanipoteza,hizi sasa zinamitaa mingi zaidi na kitanzania ninzuri zaidi. Nasema hivyo kwavile map za google ni siye wenyewe tuna update na watanzania hatutaki kujitolea kufanya hilo lol. Kwa vyovyote vile hizi map mpya zitakuwa nzuri kwetu ndani ya miezi sita au hata mwaka. Manake sasa hivi tuu ni poa ila nina miss majengo majengo na vituo kwenye google kidogo vipo. Lakini pia google wameshatoa app yao kwa apple waiweke kwenye app store kwa downloading nazani pia wataleta vitu super sana manake sasa wanamshindani shupavu

Khaa ndo unajisifu hivo? Hapo mjini papo hivo? Hivi hata hoteli unaweza kuonywesha ongea ukweli hio map nzuri? (picha uloeka).

Mi npo safarini wait jion nieke screen shot ya hilo eneo kwa google map na nokia map
 
Yes, i believe itaathiri kibiashara soko la iphone5, hii inaweza isionekane kwa kuwa bado iphone 4 and 4s ziko sokoni!

Lakini kwa ushindani yaani (Android specifically Samsung and the rest, Nokia n.k) ni dosari kubwa katika Market)...hii ni kutokana na publication kubwa iliyopata lakini output haikuwa kama vile ilivyotarajiwa na ukichukulia iphone 5 kuwa na uwezo wa kutumia 4G.
 
ANOTHER BUG
iPhone 5 can't do both Voice and Data simultaneously in 4G.
 
hizo barabara kama limetokea tetemeko la ardhi vile wafanye wafix hilo tatizo...kitu android bhana..
 
leo ndo imetoka rasmi iphone 5 so muende youtube mkaione

Na samsung washaenda mahakamani wanasema lte (4g) ya iphone imetumia rights zao so wanataka ziwe banned zote wao hawataki hela
 
Apple Apple Apple 1day wata loose hao royal customers wao waache waendelee kuleta utani tu.
hao ni kutoka Ujerumani wakisubiria iphone 5 zao
A3SyoosCQAEObnk.jpg-large.jpeg


na nimeipenda hii picha ya jamaa mmoja kweenye forum nyingine alikuwa anaiponda apple sasa katoa hii picha tuu kama kunakiukweli. Chiefenda hii

hapo ni japani nao hawakuwa nyuma kupata kiti iphone5
Chief nazani utapenda hii
apple_zombies.jpg
 
Last edited by a moderator:
hao ni kutoka Ujerumani wakisubiria iphone 5 zao
A3SyoosCQAEObnk.jpg-large.jpeg


na nimeipenda hii picha ya jamaa mmoja kweenye forum nyingine alikuwa anaiponda apple sasa katoa hii picha tuu kama kunakiukweli. Chief nazani utapenda hii
apple_zombies.jpg

Haha apple wazee wa propaganda hao watu wameeka kivutia watu yani siasa tupu simu nzuri watakiwa uwe na specific za kutosha siasa zao wanabrainwash watu then zinauzika
 
haya jengine limezuka kampun ya swis watengenezaji wa saa wamewalaumu apple kwa kucopy saa zao bila kuwashirikisha.

Jamaa hao wamesema hawataenda mahakamani ila wanawataka apple wawafidie wenyewe.

Anachoringia aple ni kua jamaa hawajaziekea patent right hizo saa.

Je kwa hali hio ndo apple kisa wao kampun kubwa kuzicopy na kuziekea rights?

Ina maana hata nokia au samsung akieka saa kama hizo watamlipa apple.

Picha hii ya saa za aple na za hao jamaa
clockcomparisonnoWM_large_extra_large.jpg


msemo wa steve job said:
“Picasso had a saying. He said, ’Good artists
copy, great artists steal.’ And we have always
been shameless about stealing great ideas” - Steve Jobs on PBS’s "Triumph of the Nerds: The
Rise of Accidental Empires" (1996)
 
Back
Top Bottom