Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
ULICHOKISEMA hapo kwenye bold ni sahihi kabisa ila kwangu mimi bado nitasimamia maoni yangu kuwa lile swali halikuwa zuri kwa vigezo vyovyote vile kwenye yale mashindano. Binafsi nilisikitika pale walipomzomea binti wa watu...na hata baadhi ya watu walihisi hivyo hivyo. Kile kitendo cha kuzomewa huenda ..nasema huenda kiliathiri hata maoni ya majaji. Mzoemeo ule haukuwa mdogo eti!Utadhanii ukumbi mzima ulizomea.
WoS hiki ni Kipindi very sensitive and waandaaji should have know that before, sasa pale walihisi ni muendelezo wa ccm kutumia kila mkusanyiko kupiga Kampeni, Umesahau ya Londa na Swala ya Eid?