Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Katika kile kinachoonyesha joto la Dr. Slaa kupanda sana, kwenye shindano la urembo lililoendeshwa na Star TV, mrembo mmoja alizomewa na ukumbi mzima katika mahojiano yafuatayo:
Swali: Utamchagua Rais wa aina...?
Utamchagua Rais wa aina gani? Mgombea wa miss Tanzania ajibu: Nitamchagua Rais anayechapa kazi kama mheshimiwa Jakaya Kikwete.. Watazamaji wazomea: Booooooo!
My Take:
Tanzania bila CCM inawezekana!
Swali: Utamchagua Rais wa aina...?
Utamchagua Rais wa aina gani? Mgombea wa miss Tanzania ajibu: Nitamchagua Rais anayechapa kazi kama mheshimiwa Jakaya Kikwete.. Watazamaji wazomea: Booooooo!
My Take:
Tanzania bila CCM inawezekana!