Missing you

Preta

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
24,323
18,791
Chrispin, masanilo, katavi, iteitei lya kite, carmel, bht, where are you guys?

nilimsahau klorokwin where are you bwana?
 
katavi alisema anaenda ufipa hajarudi tu?
 
Chrispin, masanilo, katavi, iteitei lya kite, carmel, bht, where are you guys?

Xspin-Atakuwa hapa jamvini kuanzia kesho.

Masanilo-Mh may be after two wks amekamatika na MZENJI 100%. Yuko jimbo lake la
uchaguzi na kama haitoshi MZENJI ndio kampeni manager....hapatoshi huko na Lazima
wachukue jimbo. Atakuja mwenyewe kudhibitisha haya.

Iteitei lya kite-Moshi kuna mvua sana laptop yake imekosa network.

Carmel wako na mumewe vekesheni comoro.

Bht-Kaenda kutolewa mahari kijijini kwao.

Ni mimi tu niliyebaki kuwaletea habari.
 
Xspin-Atakuwa hapa jamvini kuanzia kesho.
Masanilo-Mh may be after two wks amekamatika na MZENJI 100%
Iteitei lya kite-Moshi kuna mvua sana laptop yake imekosa network.
Carmel wako na mumewe vekesheni comoro.
Bht-Kaenda kutolewa mahari kijijini kwao.

Ni mimi tu niliyebaki kuwaletea habari.

Aikambe mochi kanyi
 
Xspin-Atakuwa hapa jamvini kuanzia kesho.
Masanilo-Mh may be after two wks amekamatika na MZENJI 100%
Iteitei lya kite-Moshi kuna mvua sana laptop yake imekosa network.
Carmel wako na mumewe vekesheni comoro.
Bht-Kaenda kutolewa mahari kijijini kwao.

Ni mimi tu niliyebaki kuwaletea habari.
duh, namuonea huruma huyu shemeji atakayemuoa.
 
Xspin-Atakuwa hapa jamvini kuanzia kesho.

Masanilo-Mh may be after two wks amekamatika na MZENJI 100%. Yuko jimbo lake la
uchaguzi na kama haitoshi MZENJI ndio kampeni manager....hapatoshi huko na Lazima
wachukue jimbo. Atakuja mwenyewe kudhibitisha haya.

Iteitei lya kite-Moshi kuna mvua sana laptop yake imekosa network.

Carmel wako na mumewe vekesheni comoro.

Bht-Kaenda kutolewa mahari kijijini kwao.

Ni mimi tu niliyebaki kuwaletea habari.
Afu wewee! Ule mchango wa nauli wapi? Mi nafia huku mkombanyi kwa kukosa nauli ujue. Hahaha! Miss you too guys! SENKSI! Mola akijalia heri kesho inshallah! By ze wei, hakuna aliyemzengea mchumbangu Zd? Nakuja na kisu kilichoöndoa uhai wa ndafu. Hahahahahaha! Sent to you by smartphone blackberry@vodacom.tz
 
Aika monowama, aika mmeku, chamecha lyanyi.

Unajua kwenye ile issue ya mashori wa uswazi nilishangaa sikuwaona kuchangia,nikataka kuuliza nikaogopa kusutwa,maana siku hizi jf kwa kutoana nishai hamjambo.Nilihisi kuna kitu kinakosekana.
 
Chrispin, masanilo, katavi, iteitei lya kite, carmel, bht, where are you guys?

...Pretty, Mwanajamii'1, Penny, Woman Of Substance aka 'nanihii'...Lol , Bubu ataka kusema, sijawasoma siku nyingi... mpoooo? ...
 
Afu wewee! Ule mchango wa nauli wapi? Mi nafia huku mkombanyi kwa kukosa nauli ujue. Hahaha! Miss you too guys! SENKSI! Mola akijalia heri kesho inshallah! By ze wei, hakuna aliyemzengea mchumbangu Zd? Nakuja na kisu kilichoöndoa uhai wa ndafu. Hahahahahaha! Sent to you by smartphone blackberry@vodacom.tz

Ha ha ha, nakutumia kwa MP PESA umenywea mbege yooote? au tumia gari ya bro ya kwa kila goti litapigwa tuta clear huku. Au tumia anga la precision air.
 
Xspin-Atakuwa hapa jamvini kuanzia kesho.

Masanilo-Mh may be after two wks amekamatika na MZENJI 100%. Yuko jimbo lake la
uchaguzi na kama haitoshi MZENJI ndio kampeni manager....hapatoshi huko na Lazima
wachukue jimbo. Atakuja mwenyewe kudhibitisha haya.

Iteitei lya kite-Moshi kuna mvua sana laptop yake imekosa network.

Carmel wako na mumewe vekesheni comoro.

Bht-Kaenda kutolewa mahari kijijini kwao.

Ni mimi tu niliyebaki kuwaletea habari.
Nguli u have all needfull info, senks tena
 
Ha ha ha, nakutumia kwa MP PESA umenywea mbege yooote? au tumia gari ya bro ya kwa kila goti litapigwa tuta clear huku. Au tumia anga la precision air.


tatizo lake alipoenda huyua akaanza kutatua tatizo la kila mwanakijiji kule unategemea nini? huyu anakwambia kitochi, huyu anataka kiti moto, huyu anataka 'kubadili kinywaji' anywe Bia nk

bado hujakutana na anayekwambia hajala nyama toka mwaka uanze!
 
Ndiyo yamekuwa hayo tena? Basi bora tubadilishe jina la forum hii na kuiita Wachagga Forum. Ukabila ukabila kila kukicha! agggggghhhhhh! :(

Kwani umeongea kikwenu ukakosa wenzio? usitukwaze tuna raha zetu za xmas and we are proud to be chaggas, mndenyi oyeeee
 
Unajua kwenye ile issue ya mashori wa uswazi nilishangaa sikuwaona kuchangia,nikataka kuuliza nikaogopa kusutwa,maana siku hizi jf kwa kutoana nishai hamjambo.Nilihisi kuna kitu kinakosekana.

Heee! wewe ngoja nikupotezee
 
Kwani umeongea kikwenu ukakosa wenzio? usitukwaze tuna raha zetu za xmas and we are proud to be chaggas, mndenyi oyeeee


Lugha ambazo zimeruhusiwa hapa ni Kiswahili na Kiingereza ili wote tuweze kufuatilia mijadala inayoendelea, kama Kichagga nacho kimeongezwa kama ni lugha inayoruhusiwa kutumika hapa basi tufahamishwe hivyo. Nyie watu kwa ukabila!
 
Chrispin, masanilo, katavi, iteitei lya kite, carmel, bht, where are you guys?

Eti? Am back. Gonga SENKSI hapo fasta! Hahaha! Nna senksi 50 za kugawa, changamkeni! Miss u too dada/kaka!
 
Back
Top Bottom