ENJOYING XMASS AND NEW YEAR's HOLIDAYZ.Chrispin, masanilo, katavi, iteitei lya kite, carmel, bht, where are you guys?
Kweli haven't read their useful comments for long time, Kaka Xpin bado uko Marangu?Chrispin, masanilo, katavi, iteitei lya kite, carmel, bht, where are you guys?
Chrispin, masanilo, katavi, iteitei lya kite, carmel, bht, where are you guys?
Xspin-Atakuwa hapa jamvini kuanzia kesho.
Masanilo-Mh may be after two wks amekamatika na MZENJI 100%
Iteitei lya kite-Moshi kuna mvua sana laptop yake imekosa network.
Carmel wako na mumewe vekesheni comoro.
Bht-Kaenda kutolewa mahari kijijini kwao.
Ni mimi tu niliyebaki kuwaletea habari.
duh, namuonea huruma huyu shemeji atakayemuoa.Xspin-Atakuwa hapa jamvini kuanzia kesho.
Masanilo-Mh may be after two wks amekamatika na MZENJI 100%
Iteitei lya kite-Moshi kuna mvua sana laptop yake imekosa network.
Carmel wako na mumewe vekesheni comoro.
Bht-Kaenda kutolewa mahari kijijini kwao.
Ni mimi tu niliyebaki kuwaletea habari.
Aikambe mochi kanyi
Afu wewee! Ule mchango wa nauli wapi? Mi nafia huku mkombanyi kwa kukosa nauli ujue. Hahaha! Miss you too guys! SENKSI! Mola akijalia heri kesho inshallah! By ze wei, hakuna aliyemzengea mchumbangu Zd? Nakuja na kisu kilichoöndoa uhai wa ndafu. Hahahahahaha! Sent to you by smartphone blackberry@vodacom.tzXspin-Atakuwa hapa jamvini kuanzia kesho.
Masanilo-Mh may be after two wks amekamatika na MZENJI 100%. Yuko jimbo lake la
uchaguzi na kama haitoshi MZENJI ndio kampeni manager....hapatoshi huko na Lazima
wachukue jimbo. Atakuja mwenyewe kudhibitisha haya.
Iteitei lya kite-Moshi kuna mvua sana laptop yake imekosa network.
Carmel wako na mumewe vekesheni comoro.
Bht-Kaenda kutolewa mahari kijijini kwao.
Ni mimi tu niliyebaki kuwaletea habari.
Aika monowama, aika mmeku, chamecha lyanyi.
Chrispin, masanilo, katavi, iteitei lya kite, carmel, bht, where are you guys?
Afu wewee! Ule mchango wa nauli wapi? Mi nafia huku mkombanyi kwa kukosa nauli ujue. Hahaha! Miss you too guys! SENKSI! Mola akijalia heri kesho inshallah! By ze wei, hakuna aliyemzengea mchumbangu Zd? Nakuja na kisu kilichoöndoa uhai wa ndafu. Hahahahahaha! Sent to you by smartphone blackberry@vodacom.tz
Nguli u have all needfull info, senks tenaXspin-Atakuwa hapa jamvini kuanzia kesho.
Masanilo-Mh may be after two wks amekamatika na MZENJI 100%. Yuko jimbo lake la
uchaguzi na kama haitoshi MZENJI ndio kampeni manager....hapatoshi huko na Lazima
wachukue jimbo. Atakuja mwenyewe kudhibitisha haya.
Iteitei lya kite-Moshi kuna mvua sana laptop yake imekosa network.
Carmel wako na mumewe vekesheni comoro.
Bht-Kaenda kutolewa mahari kijijini kwao.
Ni mimi tu niliyebaki kuwaletea habari.
Ha ha ha, nakutumia kwa MP PESA umenywea mbege yooote? au tumia gari ya bro ya kwa kila goti litapigwa tuta clear huku. Au tumia anga la precision air.
Aika monowama, aika mmeku, chamecha lyanyi.
Ndiyo yamekuwa hayo tena? Basi bora tubadilishe jina la forum hii na kuiita Wachagga Forum. Ukabila ukabila kila kukicha! agggggghhhhhh!
Kwani umeongea kikwenu ukakosa wenzio? usitukwaze tuna raha zetu za xmas and we are proud to be chaggas, mndenyi oyeeee
Chrispin, masanilo, katavi, iteitei lya kite, carmel, bht, where are you guys?