Miss you jamani

KOKUTONA

JF-Expert Member
Jan 29, 2011
8,649
6,088
Nimewamiss sana humu ndani, saaana saana yani.

Tupia japo salamu kunipunguzia hizi miss maana zinamwagika sasa.

thumb.jpg
 

Yaani my dearest acha kabisa.....nilikuwa nimekamatwaje? Full in door hata babu Dark City anajua.

Nikawa nawamissi je sasa, hata nikijaribu ku do the nidiful to JF nashinda....i miss you people kabisa yani.

Dark City Lady doctor Lily Flower Mzee wa Rula Kaizer Preta Asprin Filipo Erickb52 marejesho Heaven on Earth Eiyer BAK PakaJimmy Passion Lady Cantalisia LiverpoolFC Arabela Mwanyasi[/QUOTE]
mnaitwa na m baba mje minipunguzie miss hizi, zimwagika.
 
Last edited by a moderator:
Halafu leo asubuhi nilivyoingia humu ndani nilikukumbuka wallah

I miss you so so soooo many Koku

Hivi unakuwaga wapi bibie?

We acha tu mpenzi wangu.
Malimwengu yalinihamisha kwenye ulimwengu wa mawasiliano hadi nikawa not richable.

Uko powa wangu....miss u tooo
 
KOKUTONA natamani nikumisi, ila bado ''sijakufahamu'', naomba nikufahamu ili siku moja nikumisi!

Uwiiiiii Eli79 nidokeze kwanza unamfahamuje mtu hadi una mmiss, ki ukweli natamani unimiss hakyanani.

Nimiss basi jamani eeeh
 
Last edited by a moderator:
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom