Daah hapa Lundenga alifanya kazi..
Happy alistahili
She is beautiful
And intelligent
Kila mtu alifurahia na kuunga mkono ushindi wake....It was fair..
BUT Miss bibi bomba wa mwaka huu hapana
Mwaka huu alitaka kutuvuruga kabisa yule mzee
Ametuvuruga tayari....aliyestahili kushinda ni yule mshindi wa tatu yule
Yap yule wa tatu alistahili sana, hata walipotengua ushindi wa bibi bomba ni bora angepewa yule
Hivi lundenga ana hati miliki ya mashindano yale?
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa ushindi unapatikana kwa kura tunazopiga
ni kweli, yule anastahili na tungefika mbaliAmetuvuruga tayari....aliyestahili kushinda ni yule mshindi wa tatu yule
Apigwe chini tu apewe mwingine.. Kashaandaa mengi apumzike sasa awaachie vijana akina Le Mutuz lol
wala haitaji degree kujua yule wa watatu anastahili, yuko vizuri saana ,ndio shida yakuingiza maslahi binafsi kwenye kaziYap yule wa tatu alistahili sana, hata walipotengua ushindi wa bibi bomba ni bora angepewa yule
Hahahahah....sasa na wewe unaanza kupotea njia...le mutuz tena....si atawaita ma bebs wake kina sintah washindanie na mashindano yatafanyika instagram
wala haitaji degree kujua yule wa watatu anastahili, yuko vizuri saana ,ndio shida yakuingiza maslahi binafsi kwenye kazi