Miss Universe 2008: Tumuunge Mkono Amanda, Mwakilishi Wetu...

Steve Dii

JF-Expert Member
Jun 25, 2007
6,402
1,254
Ndugu WanaJF,

Kunradhi, nimechelewa kupata link ya kumpigia kura, ila kwa vile mchuano bado unaendelea, sina budi kuiweka hapa hata kama hii round ya kwanza imemalizika.

Nimekutana na link kutoka kwenye globu ya kaka Michuzi.

Link ya kumpigia kura Amanda ni hii hapa: http://www.pageant-almanac.com/vote/dcballot.php?poll=mu08r1ame&bb=on

Kusudio langu la kuiweka hapa ni kwamba shindano la Miss Universe 2008 bado linaendelea, hata kama round hizi za kwanza zimetoweka bila kumpigia kura, nina amini kupiga kura bado kunaendelea kulingana na maelezo waliyoyatoa waandaji kwenye website yao kuhusiana na sheria/kanuni za kuwachangua washindi: http://www.missuniverse.com/corpinfo/faq.html. Hivyo basi natumaini bado kutakuwa kunakupiga kura tena hapo mbeleni maana fainali za mchuano ni tarehe 13 July 08.

Ngoja niwaache na tupicha tuwili twa mwakilishi wetu, Amanda Ole Sulul:

TZ.jpg


Amanda akiwa kwenye evening dress.

TZ.jpg


Hapa yuko ndani ya 'vasi asilia'

I hope kutakuwa na kupiga kura tena na tutaweza kumpigia kura mwenzetu kumuunga mkono. Mshikamano wetu kwa Flaviana ulizaa matunda, naomba tumpe support pia. Ahsanteni.

SteveD.
 
huyu binti ni mzuri sana..lakini mwaka jana naskia alishashiriki miss Tanzania...imekuaje hawa watu wa miss universe-Tanzania wachukue kitu ambacho kilisha prove failure huku nyuma......tukishindwa tutajilaumu kweli????
 
huyu binti ni mzuri sana..lakini mwaka jana naskia alishashiriki miss Tanzania...imekuaje hawa watu wa miss universe-Tanzania wachukue kitu ambacho kilisha prove failure huku nyuma......tukishindwa tutajilaumu kweli????

Na mshindi wa Miss Tanzania mwaka jana alifanya vizuri huko Miss World? Je Amanda akifanya vizuri inamaanisha nini kuhusu miss tanzania?
 
Na mshindi wa Miss Tanzania mwaka jana alifanya vizuri huko Miss World? Je Amanda akifanya vizuri inamaanisha nini kuhusu miss tanzania?

Itamaanisha Miss Tanzania ni Usanii wa kutupwa kama kawaida....................
 
Tanzania hatuna mtu anaeitwa Amanda haya ni majina ya kikoloni halafu vipi tunaiwakilisha Tanzania na watu wenye majina sio asilia ,hapa mimi sitoi kura kama muwakilishi hana jina la kizalendo.
Hilo jina huyu mwanamke sio lake haya ni majina ya kisenemasenema na analitumia kwa kujitafutia umaarufu na nimeenda kugoogle kwenye image nione kama kuna mtu kutokea Afrika kwa jina la Amanda kwa kweli sijaona.
 
amanda rehearsing in vietnam

Hello everyone,

I am enroute to Vietnam! I am sending you a photo of Amanda during the rehearsals. Tomorrow on the 8th of July 2008, there will be the preliminary show where judges will select the top 10 who will be announced on the 14th of July.

t9-705114.jpg

If you have not voted for Amanda's national costume please visit www.nbc.com and vote. Please tell all your friends, family and colleagues to vote for Amanda!

Thank you and will keep you updated straight from Vietnam!


Regards
Maria Sarungi-Tsehai
 
Huko www.nbc.com nimetafuta miss universe sijaona lolote labda jaribuni kuangalia huku
http://www.missuniverse2008.com

Bubu, link ya ku-vote hii hapa chini...


Tafadhali piga kura ya vazi kwenye website ifuatayo:

http://www.nbc.com/Miss_Universe_2008/

Watanzania Wenzangu, tafadhali sana ndugu zangu.... tuungane na kuonesha MSHIKAMANO WETU. TUMSAIDIE MWENZETU ASHINDE!!

NAOMBA UKONG'OLI HAPA CHINI NA KUMPIGIA KULA AMANDA, MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA MASHINDANO HAYA. AHSANTE!!!


 
Presentation of show opening number
tanzania.jpg


zel%20salvador%20norway%20tanzania.jpg


VinPearl Gala Dinner
ytanzania.jpg


Contestant Parade
tanzania%20turks%20%26%20caicos%20thailand%20croatia%20uk%20costa%20rica.jpg


VIP Dinner at Sheraton
tanzania.jpg


Uchangmfu huu wa Amanda siku ya kwanza ikamweka kwenye Top 20 baada hapo alishushwa kwenye orodha

images1575718_DSCF0038.jpg
 
Well Steve, I cannot say maana hiyo ranking mliosikia kuhusu Amanda kuwa ktk Top 20 inatokea kwenye website moja mashuhuri kufuatilia mambo haya ya beauty pageants. Na hiyo ranking sio kwamba imetoka ni kwamba every week kuna ranking mpya inatolewa. Kazi ya hiyo website ni kutoa maoni yao na si mara zote kuwa ni sahihi. It has been 3 weeks toka ranking ya kwanza na Amanda alishapotea katika radar ya Top 20 kwa mujibu ya hiyo ranking yao.
ila katika websites zingine kama pageant almanac wanamrank ktk Top 10 anashika nafasi ya 8. Katika blog moja she is ranked 6th. Blog zingine zina bias ya hali ya juu. Mara nyingi wanampa mtu wao nafasi kubwa ya kushinda. Kwa maana blogs hizi ni kama pressure camps and nothing else.
But I think she stands a good chance. Maana nimeona katika blogs nyingi picha ya Amanda haikosekani so I think she gets some limelight sema tu huwa hawamhoji chochote. There are several pictures of her she looks really tired. Nimeona moja ya rehearsal amekaa nyuma ya Miss Nigeria na Ghana she looks so lonely. But that is just one picture.
So you never know, lets just keep our fingers crossed.
 
.... Bimkubwa, that 'vazi la asili' i'm not so sure about it... naona kama wamechemsha hivi, what's ya take??!!

.... on height, she must have acceptable height for pageant comp like this, but kwenye picha namwona kama mfupi hivi.. dunno, may be nimechanganya madude tena j/mosi hii ... :) anyway, wot d'u say?
 
.... Bimkubwa, that 'vazi la asili' i'm not so sure about it... naona kama wamechemsha hivi, what's ya take??!!

.... on height, she must have acceptable height for pageant comp like this, but kwenye picha namwona kama mfupi hivi.. dunno, may be nimechanganya madude tena j/mosi hii ... :) anyway, wot d'u say?

Kwa kweli ulilolisema na mimi lilichanganya maana it is said she is 172cm which is relatively tall infact yeye ktk wale waliotoka Afrika ni wa pili kwa urefu kama sikosei analingana na wengine wawili wa Afrika. Ni mrefu kuliko hata Miss Nigeria and some two others.

Ila nilipoona picha za siku hiyo I think the person given the contract was either tired or occupied maana picha nyingi hazikutoka vizuri na mikao mingine ya wasichana wengine ilikaa kushoto kidogo. Ila posture aliokaa bibie ilimfanya aonekane mfupi au pengine kwa kusisitiza uafrika alivua viatu. I cannot say maana nguo imefunika hadi miguu.

Nasubiria kesho usiku nitazame live show. I hope she does great she looks like such a sweet girl.
 
Waungwana msisahau leo ndiyo kinyang'anyiro cha Miss Universe kule Vietnam kinafikia tamati. Binti yetu Amanda ndiyo mwakilishi wetu, I hope atafanya vizuri ili afike mbali katika mashindano hayo. NBC wataonyesha live kuanzia 8.00 Central time au 9.00 Eastern Time na pia saa 10.00 za usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom