Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
- Thread starter
- #21
Da alikuwa ananiboa sanaaa na kunikeraa.
Lakini siyo siri alikuwa ananifurahisha sana kwa ujasiri,uhodari na stamina yake ya kuweza kubishana na kuzipangua hoja za wadau kwa hoja na point zenye ujazo bila kutoka nje ya mada na bila hasira wala ghadhabu.
Hicho ndio nlikuwa nampendea FF hata siku moja hatoi kashfa wala matusi,yeye japo ukweli anauona lakini atajitahidi kucheza karata zake vizuri tena kwa hoja,we miss u FF,pls pm me kama una I'd nyingine nijue uwepo wako,