Miss TZ 2011 kuondoka na Jeep lenye gharama ya Tsh.72 millions

Leornado

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
1,529
196
Hii zawadi baadae itageuka mzigo manake repairing and maintaining Jeep Patroit sio kazi ndogo. Acha mbali gharama ya mafuta kwa mwanafunzi wa chuo as most of these young ladies ni wanachuo.


Bora wampe hiyo cash, itamsaida kwenye elimu na maisha ya baadae, sasa li-jeep sijui unalifanyia nini.

Lundenga na kamati yako, ifikie mahali zawadi kwa mamiss ziwe zina tathminiwa na ziendane na mabinti wadogo.


All in all, i wish all the young ladies all the best.
2.jpg





Miss-Tanzania-2011.jpg
 
Wao wanapata sh NGAPI?????mwanamke bado anatumiwa na mabepari kwenye kujipatia KIPATO
 
nakubaliana na wewe wangempa pesa instead ingewafaa sana......
 
Do you think is a brand new car?

Sponsors and Home watangaza kuwa gari ni jipyaaa.

Point yangu ni kwa nini wasitoe hiyo cash kama zawadi kuliko kumbebesha mtu mzigo wa kutunza jigari kama hili? Kumbuka mlengwa wa hii zawadi ni below 25 yrs.
 
Anayepaswa kumchagulia zawadi mtu ni mtoaji mwenyewe, sasa ndugu yangu wewe ni nani hasa kutoa ushauri kama huu usio na kichwa wala miguu.
 
Anayepaswa kumchagulia zawadi mtu ni mtoaji mwenyewe, sasa ndugu yangu wewe ni nani hasa kutoa ushauri kama huu usio na kichwa wala miguu.
Nyie ndio walewale mnaopeleka zawadi ya TV kijijini wakati hakuna umeme wala network yoyote, sijapinga hii zawadi, ila zawadi iendane na mlengwa sio unakurupuka tu.
 
Sponsors and Home watangaza kuwa gari ni jipyaaa.

Point yangu ni kwa nini wasitoe hiyo cash kama zawadi kuliko kumbebesha mtu mzigo wa kutunza jigari kama hili? Kumbuka mlengwa wa hii zawadi ni below 25 yrs.

Wanasema the car is worth 72m/- and is courtesy of joint efforts between the event sponsors Vodacom Tanzania and CFAO Motors Tanzania. Do you really think the car is worth that? Kuamua kutomlipa cash ni njia nyingine ya kuepuka kulipa kodi tuu. What does Vodacom get in kwa kumpa mtu a car worth 72m?
 
Sponsors and Home watangaza kuwa gari ni jipyaaa.Point yangu ni kwa nini wasitoe hiyo cash kama zawadi kuliko kumbebesha mtu mzigo wa kutunza jigari kama hili? Kumbuka mlengwa wa hii zawadi ni below 25 yrs.
Leornado ndugu yangu kumbe hujajuwa janja ya hawa organisers/sponsors mpaka sasa ? idea nzima ya kumpa gari mtu ambaye labda hata hela ya petroli au matengenezo hana ni kumjengea utegemezi ili baadae waweze kumpata/kumtumia kirahisi.Wengi wa hawa mabinti wamemaliza form 4/6 na wachache wako chuo na majority wanatoka kwenye familia duni sasa hapo malizia mwenyewe utajua maana ya kupewa gari.Kama ningekuwa na uwezo haya mashindano ya miss Lundenga na yule mbabaishaji chips na miss utalii yake ningeyafutilia mbali,afadhali kidogo yule mama sarungi na miss universe yake.
 
Lengo la miss tz ni kutengeneza machangu watakaokuwa wanajiuza kwa mapede wa mjini.jaribu kuangalia gari la thamani kama hilo ni kuzidisha skendo tu kwa hao mabinti kwaiyo tusijaribu kuwaraumu lundenga na wadhamini wake ndo tatizo.
 
Ina maana mrembo wa Miss TZ anapewa zawadi ya gharama kuliko mshindi wa Vodacom Premier league, inabidi wachezaji waingie kwenye urembo sasa.
 
Ina maana mrembo wa Miss TZ anapewa zawadi ya gharama kuliko mshindi wa Vodacom Premier league, inabidi wachezaji waingie kwenye urembo sasa.
Hahaha! umenikumbusha NEC ya CCM iliposema kuwa Spika wa 2010 lazima awe wa kike kigezo ambacho lazima Sitta kingemshinda.
 
Bora hiyo milioni 72 wangempa nyumba kuliko hilo gari (utata mtupu)
 
Back
Top Bottom