bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,116 Apr 23, 2012 #1 MISS UTALI TOURISM TANZANIA 208, NATIONAL FINAL CONTESTANTS (WATOTO WA MUZEE PAPAA CHIPUNGAELO.
bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,116 Apr 23, 2012 Thread starter #3 galileo galilei said: hamna kitu bradha. Click to expand... hamna kitu kabisa. Ila naskia yeye ndio mwalimu wa kila kitu , hataki mtu yoyote awasogelee hawa mabinti .yaani kazi kweli kweli.
galileo galilei said: hamna kitu bradha. Click to expand... hamna kitu kabisa. Ila naskia yeye ndio mwalimu wa kila kitu , hataki mtu yoyote awasogelee hawa mabinti .yaani kazi kweli kweli.
Mshume Kiyate JF-Expert Member Feb 27, 2011 6,766 894 Apr 23, 2012 #4 bucho said: hamna kitu kabisa. Ila naskia yeye ndio mwalimu wa kila kitu , hataki mtu yoyote awasogelee hawa mabinti .yaani kazi kweli kweli. Click to expand... hahaahaaa! Mpaka anataka kupigana.
bucho said: hamna kitu kabisa. Ila naskia yeye ndio mwalimu wa kila kitu , hataki mtu yoyote awasogelee hawa mabinti .yaani kazi kweli kweli. Click to expand... hahaahaaa! Mpaka anataka kupigana.
bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,116 Apr 23, 2012 Thread starter #5 Galileo Galilei said: hahaahaaa! Mpaka anataka kupigana. Click to expand... kwi kwi kwi ..... wacha kabisa . huyu jamaa ni noma sio mchezo.
Galileo Galilei said: hahaahaaa! Mpaka anataka kupigana. Click to expand... kwi kwi kwi ..... wacha kabisa . huyu jamaa ni noma sio mchezo.
W WILSON MWIJAGE JF-Expert Member May 30, 2011 276 76 Apr 24, 2012 #7 Ndugu, Kumbe bado udhalilishaji unaendelea, mko wapi wapinga udhalilishaji? Hebu jitokeze, simama mbele ya watu na kusema HAPANA kwa watoto wetu wa kike
Ndugu, Kumbe bado udhalilishaji unaendelea, mko wapi wapinga udhalilishaji? Hebu jitokeze, simama mbele ya watu na kusema HAPANA kwa watoto wetu wa kike
bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,116 Apr 24, 2012 Thread starter #8 WILSON MWIJAGE said: Ndugu, Kumbe bado udhalilishaji unaendelea, mko wapi wapinga udhalilishaji? Hebu jitokeze, simama mbele ya watu na kusema HAPANA kwa watoto wetu wa kike Click to expand... mkuu mbona wana miaka zaidi ya 18 ? hao sio watoto tena.
WILSON MWIJAGE said: Ndugu, Kumbe bado udhalilishaji unaendelea, mko wapi wapinga udhalilishaji? Hebu jitokeze, simama mbele ya watu na kusema HAPANA kwa watoto wetu wa kike Click to expand... mkuu mbona wana miaka zaidi ya 18 ? hao sio watoto tena.
Swts JF-Expert Member Feb 5, 2012 3,062 1,292 Apr 24, 2012 #9 hmm labda macho yangu sijuii ndo hayajaona auhwell:
Chakunyuma JF-Expert Member Apr 10, 2011 810 152 Apr 24, 2012 #11 KAMA MAPENZI NI PESA , FUNGA NDOA NA BENKI. Hii signature yako mmmmmmmmmmh! kwani benki ni mtu? Ataweza kutimiza mambo yote ya ndoa?
KAMA MAPENZI NI PESA , FUNGA NDOA NA BENKI. Hii signature yako mmmmmmmmmmh! kwani benki ni mtu? Ataweza kutimiza mambo yote ya ndoa?
bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,116 Apr 24, 2012 Thread starter #12 Chakunyuma said: KAMA MAPENZI NI PESA , FUNGA NDOA NA BENKI. Hii signature yako mmmmmmmmmmh! kwani benki ni mtu?Ataweza kutimiza mambo yote ya ndoa? Click to expand... we ujui ? pesa ni mtu ndio maana madem wanachachawa.
Chakunyuma said: KAMA MAPENZI NI PESA , FUNGA NDOA NA BENKI. Hii signature yako mmmmmmmmmmh! kwani benki ni mtu?Ataweza kutimiza mambo yote ya ndoa? Click to expand... we ujui ? pesa ni mtu ndio maana madem wanachachawa.
Swts JF-Expert Member Feb 5, 2012 3,062 1,292 Apr 24, 2012 #13 Mzinga said: Kweli mke wangu mzuri simwachi kamwe Click to expand... swts like zis thru nokia tochi
bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,116 Apr 25, 2012 Thread starter #15 Erickb52 said: Asante kwa picha Click to expand... asante kwa kupitia.