cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,596
- 137,331
Kheeeeeh kumbe? Makubwa tobaaaaah.Mbona waja wasema ana mimba ya kukaribia kuzaa au Wana mchafua?
Kheeeeeh kumbe? Makubwa tobaaaaah.Mbona waja wasema ana mimba ya kukaribia kuzaa au Wana mchafua?
Nakwambia wamemjaza mimba na tena alikua ni mume wa wenyewe..nyakunyaku mkubwa adi akashtakiwa huko kwenye hiyo miss Tz yao..Sijui atakua ameflash au anayo bado..jinga sana hili limetutia aibu hata matumizi ya ndom pia hajuwii..
Sijajua ndugu yanguDuh hatari sana hii so dinga kanyang'anywa
Mie siamini hataMaana huyu miss alikuwa ameshajiandaa tayari like one month ago, so Cha mimba nimeshangaa
Tunaishi nako hapa Kijitonyama ndio maana siku hizi gari limepaki kwao kwenye michongoma
Ni wa pili.Hajamaliza chuo bado.
Yupo chuo kikuu Ardhi Kama sio mwaka wa pili ni wa tatu
Kama mwaka gani vile jamani lina rangi kama za matatu ya hapo kwa jirani!Waweke wazi taratibu walizotumia mpaka kufikia hapo na sio statement za jujuu tu, hawa watu walishaonyesha walakini toka waanze kuwapa washindi gari used choka mbaya kama zawadi!!
So serekali za mitaa wapewe wasimamie mashindano ya u miss! NakojooaaaaNdio shida ya shindano lenye jina la nchi kumpa mtu binafsi aliendeshe na afanye maamuzi.
Anakukata tu sababu umemnyima kitu
😂😂rushwa ya ngono, mimba ya kigogo, wizara ya sanaa.wabongo tupe kichwa cha habari, Story tunamalizia wenyewe 😁
😂😂😂 asee tusubiri tuone😂😂rushwa ya ngono,mimba ya kigogo,wizara ya sanaa.
Mbn hawaweki wazi alifanya nn?
Kwanza kama alishatangazwa mshindi iweje tena wampokonye?
Au alipewa condition ya nipe nikupe baadae akakataa?
Lazima uliwe ili ule,,hyo ndy condition aliyopewa.Wamefanya jambo la ajabu sana. Mtu mseme ameshinda kwa vigezo vyote, halafu kesho kutwa mnakuja kusema hafai!! Wamejidhalilisha sana.