Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,968
Kupitia TBC Habari jioni hii nimeona na kusikia kuwa Miss Tanzania atatumia Kiswahili ili kuitangaza Tanzania na vivutio vya kitalii katika shindano la kumtafuta mrembo wa dunia yaani Miss World. Sasa nauliza hilo wig analovaa muda wote na kope za bandia ndiyo maumbile ya asili ya mwanamke wa kitanzania?! Kwanini asionekane katika uasili wake kama Flavian Matata siyo lazima anyoe kipara kama Flavian anaweza hata kusuka au kuzifunga mabutu lakini kwa hayo mawig na kope za bandia anakwenda kutangaza uhindi au uchina ndiyo maana ATASHINDANA LAKINI HATADHINDA!!