Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Nilicho kiona hapa in kuwa baada ya mashindano warembo hutelekezwa na kutegemea nguvu zao kujiweka sawa.
Ni muda muafaka WA kuwa na njia mbadala ya kuwapa platform kulingana na vipaji vyao ili waweze kujinakishi.
Mataifa mengine huwapa platform ya kikazi wale wote waliofika walau Top 10,
Tanzania tujipange upya.
Rev. Deogratius Kisandu
Kahama-Tanzania.
Ni muda muafaka WA kuwa na njia mbadala ya kuwapa platform kulingana na vipaji vyao ili waweze kujinakishi.
Mataifa mengine huwapa platform ya kikazi wale wote waliofika walau Top 10,
Tanzania tujipange upya.
Rev. Deogratius Kisandu
Kahama-Tanzania.