Miss Tanzania 2009 aswekwa rumande

Hujanitumia valentine wishes!

kwani wewe jina lako la ubatizo ni hilo?? hata siku yenyewe bado lakini mbona una visa wewe?

Masa jamani hawa walimbwende wa huku kwetu hawaishi mikasa!!! yule wa kbla ya huyu alikuwa bangi nibangue, huyu nae kaja na yake....na Lundenga alijigamba kuwa safari hii nidhamu mbele
 
Habari nilizozipata punde kutoka mahakama ya hakimu mkazi Kinondoni zinasema kuwa mnyange wa Tanzania wa mwaka 2009 anayeshikilia taji leo amepandishwa kizimbani pamoja na mtu mwingine wa kiume anayesadikiwa kuwa boy friend wake kwa tuhuma za kupiga na kujeruhi wote wameshindwa kutimiza masharti ya dhamana na wametupwa lupango.
02_10_c4fhp4.jpg

Miss Tanzania 2009, Miriam Gerald akiongozwa na Polisi kuingia katika mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni Dar es Salalaam jana alikpofikishwa pamoja na rafiki yake Kennedy Victor kusomewa mashitaka ya kushambulia na kuharibu mali. Miriam alipelekwa mahabusu kwa kukosa mdhamini. (Picha na Mroki Mroki).
 
kwani wewe jina lako la ubatizo ni hilo?? hata siku yenyewe bado lakini mbona una visa wewe?

Masa jamani hawa walimbwende wa huku kwetu hawaishi mikasa!!! yule wa kbla ya huyu alikuwa bangi nibangue, huyu nae kaja na yake....na Lundenga alijigamba kuwa safari hii nidhamu mbele

Yule mwingine wanasema ni Lesbian ana"du" wenzake
 
02_10_c4fhp4.jpg

Miss Tanzania 2009, Miriam Gerald akiongozwa na Polisi kuingia katika mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni Dar es Salalaam jana alikpofikishwa pamoja na rafiki yake Kennedy Victor kusomewa mashitaka ya kushambulia na kuharibu mali. Miriam alipelekwa mahabusu kwa kukosa mdhamini. (Picha na Mroki Mroki).

Mhhhhh namtamani ningechanganywa naye mahabusu
 
kheee yupi sasa yule cha bangi?? (amejikoboa zimebaki lips tu ndo nyeusi jamaniiii agrrrrrrrrrr watto hawa bwana aaaaaaaaaaah)

Na wee unakuwa kama umeingia mjini jana! Yule chotara wa Kirusi
 
Yupi huyo ndiye yule alikuwa anauza simu kwenye duka la almaruhumu pedeshee nonino pale Mwanza karibu ,haya chezani na live wire
 
Ama kweli

"Well-behaved women seldom make history." --Laurel Thatcher Ulrich
 
Yupi huyo ndiye yule alikuwa anauza simu kwenye duka la almaruhumu pedeshee nonino pale Mwanza karibu ,haya chezani na live wire

hahaaaaaaaaa duh mapya haya!!!! Masa fatilia kwa karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom