bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Unaingia week end hii!
hahahaaaaaaaaaa kwani nimekukosea nini wajemeni??
Unaingia week end hii!
hahahaaaaaaaaaa kwani nimekukosea nini wajemeni??
Hujanitumia valentine wishes!
Habari nilizozipata punde kutoka mahakama ya hakimu mkazi Kinondoni zinasema kuwa mnyange wa Tanzania wa mwaka 2009 anayeshikilia taji leo amepandishwa kizimbani pamoja na mtu mwingine wa kiume anayesadikiwa kuwa boy friend wake kwa tuhuma za kupiga na kujeruhi wote wameshindwa kutimiza masharti ya dhamana na wametupwa lupango.
kwani wewe jina lako la ubatizo ni hilo?? hata siku yenyewe bado lakini mbona una visa wewe?
Masa jamani hawa walimbwende wa huku kwetu hawaishi mikasa!!! yule wa kbla ya huyu alikuwa bangi nibangue, huyu nae kaja na yake....na Lundenga alijigamba kuwa safari hii nidhamu mbele
Miss Tanzania 2009, Miriam Gerald akiongozwa na Polisi kuingia katika mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni Dar es Salalaam jana alikpofikishwa pamoja na rafiki yake Kennedy Victor kusomewa mashitaka ya kushambulia na kuharibu mali. Miriam alipelekwa mahabusu kwa kukosa mdhamini. (Picha na Mroki Mroki).
Yule mwingine wanasema ni Lesbian ana"du" wenzake
Mhhhhh natamani ningechanganywa naye mahabusu
kheee yupi sasa yule cha bangi?? (amejikoboa zimebaki lips tu ndo nyeusi jamaniiii agrrrrrrrrrr watto hawa bwana aaaaaaaaaaah)
hivi wewe lakini mbona unanitendea haya Masa!!!!!! hhaaaaaaa kunifanya nicheke mwenyewe.....lol!!!
Na wee unakuwa kama umeingia mjini jana! Yule chotara wa Kirusi
Angalia chuchu hizo! Mungu amsaidie asianze dose za kichina
Yupi huyo ndiye yule alikuwa anauza simu kwenye duka la almaruhumu pedeshee nonino pale Mwanza karibu ,haya chezani na live wire
swali la kichokozi: nanyi mtaanza lini?
Nyepesi nilizopenyezewa zinadai katoboa matairi ya baiskeli ya YoYo
shemeji mmh!!!
Shem kwani vipi? Huamini kama anaweza kutoka na YoYo?