*Miss Tanzania 2008*

Kichuguu

Platinum Member
Oct 11, 2006
15,496
19,332
Washindani wetu wa Miss-Tanzania ni hawa; picha nimezitoa kwenye tovuti ya udaku ya Shigongo pale http://www.globalpublisherstz.com. Ingawa najua kuwa kuna vigezo vingi vitumikavyo kumtafuta mshindi, hata hivyo nina imani kuwa haiba huchangia sana kwenye ushindi. Je, ni nani kati yao ana haiba ya mvuto kwako, na kwa nini? GlobalPublishers wameahidi kutoa zawadi kwa msichana atakayekuwa na mvuto kwa watu wengi. Unaweza kwenda kwenye webite yao hapo juu kuonyesha chagua lako. Labda nitahadhalishe tena kuwa picha zote hizi ni mali ya Global Publishers, nimeziweka hapa kwa ajili ya kupanua mjadala wa mvuto wa haiba.

1217170024_lilian_shayo.jpg

Lilian Shayo

1217168115_resize_of_sylvia_mashuda_1.jpg

Sylvia Mashuda

1217168115_resize_of_tusekile_mwakimbinga.jpg

Tusekile Mwakimbinga

1217170024_resize_of_amata_crispin_1.jpg

Amata Crispin

1217170410_resize_of_angela_luballa_1.jpg

Angela Luballa

1217170410_resize_of_anntte_jahn.jpg

Anneth John

1217168115_resize_of_nelly.jpg

Nelly Kamwele

1217170410_resize_of_beatrice_dengenesa_1.jpg

Beatrice Dengenesa

1217170410_resize_of_blanka_emmanuel.jpg

Blanka Emmanuel

1217170410_resize_of_elizabeth_gupta_1.jpg

Elizabeth Gupta

1217170917_resize_of_gloria_masangwa.jpg

Gloria Masangwa

1217170917_resize_of_florence_josephat.jpg

Florence Josephat

1217170917_resize_of_flora_mvungi.jpg

Flora Mvungi

1217170410_resize_of_fay_antony.jpg

Fay Antony

1217170917_resize_of_irene_salala.jpg

Irene Salala

1217170917_resize_of_johari_abubakar.jpg

Johari Abubakar


1217093446_resize_of_linda_kaaya_1.jpg

Linda Kaaya

1217168115_resize_of_mariam_hajibu.jpg

Mariam Hajibu

1217168115_resize_of_nadya_1.jpg

Nadya Ahmed

1217170410_resize_of_cecilia_george.jpg

Cecilia George

1217170410_resize_of_devotha_desdery.jpg

Devotha Desdery

1217170024_pendo_laizer.jpg

Pendo Laizer

1217170410_resize_of_doris_godfrey_2.jpg

Doris Godfrey

1217168115_resize_of_nasreem_karim.jpg

Nasreem Karim


1217168115_resize_of_regina_julius_1.jpg

Regina Julius

1217168115_resize_of_rona.jpg

Rona Swai

1217168115_resize_of_tahya_badru.jpg

Tahya Badru


Bila kumsahau mdogo wangu huyu hapa:
africanwoman.jpg

Kichuguu Mdogo wa Kike

 
Jamani kuna hii issue ya nelly kuwa 16yrs na kusoma form 2 mnaionaje? Hata mamake(mrusi) alipoulizwa alijibu yupo form 2 kwakua alichelewa kuanza.Sasa nelly kwanye wasifu wake anadai kamaliza form 4. Hii itakua fair kwa washiriki wengine? naskia kuna mwalimu wa shule yake asiependa udanganyifu alipeleka copy ya cheti cha kuzaliwa miss tanzania akaambiwa eti ni feki.Isewe tumepangiwa mshindi na fisadi somaiya wa shivacom
(dalali wa rada) tena kama mwaka jana(ndo hua anatoe gari la mshindi).
 
Jamani kuna hii issue ya nelly kuwa 16yrs na kusoma form 2 mnaionaje? Hata mamake(mrusi) alipoulizwa alijibu yupo form 2 kwakua alichelewa kuanza.Sasa nelly kwanye wasifu wake anadai kamaliza form 4. Hii itakua fair kwa washiriki wengine? naskia kuna mwalimu wa shule yake asiependa udanganyifu alipeleka copy ya cheti cha kuzaliwa miss tanzania akaambiwa eti ni feki.Isewe tumepangiwa mshindi na fisadi somaiya wa shivacom
(dalali wa rada) tena kama mwaka jana(ndo hua anatoe gari la mshindi).

Eeh!! Jamani tutakimilia wapi sasa kila mahali kuna harufu ya ufisadi???
 
Rona Swai na Regina Julius I would give a lil credit for the outlook and compartibility ya rangi ya nchi. Truly they represent the majority and are not westernised like some of them though.
 
Washindani wetu wa Miss-Tanzania ni hawa; picha nimezitoa kwenye tovuti ya udaku ya Shigongo pale http://www.globalpublisherstz.com. Ingawa najua kuwa kuna vigezo vingi vitumikavyo kumtafuta mshindi, hata hivyo nina imani kuwa haiba huchangia sana kwenye ushindi. Je, ni nani kati yao ana haiba ya mvuto kwako, na kwa nini? GlobalPublishers wameahidi kutoa zawadi kwa msichana atakayekuwa na mvuto kwa watu wengi. Unaweza kwenda kwenye webite yao hapo juu kuonyesha chagua lako. Labda nitahadhalishe tena kuwa picha zote hizi ni mali ya Global Publishers, nimeziweka hapa kwa ajili ya kupanua mjadala wa mvuto wa haiba.

...chaguo langu ni hawa wawili, 'reception' inatosha mashaalah, hata wasiposhinda, moyoni mwangu wamefaulu :D.

1217170917_resize_of_florence_josephat.jpg

Florence Josephat

1217168115_resize_of_mariam_hajibu.jpg

Mariam Hajibu
 
Kichuguu, hawa akina dada wote ni wazuri, ila pamoja na kuwatakia mema wote, sitoficha maoni yangu kwa kweli; i've to say i'm rather pessimistic with further competions past Miss Tanzania for any one atakayeshinda Miss Tanzania. Mnisamehe, ni maoni yangu. Akhsante.


"kichuguu mdogo wa kike" anapotential kubwa!! :)
 
Kichuguu, hawa akina dada wote ni wazuri, ila pamoja na kuwatakia mema wote, sitoficha maoni yangu kwa kweli; i've to say i'm rather pessimistic with further competions past Miss Tanzania for any one atakayeshinda Miss Tanzania. Mnisamehe, ni maoni yangu. Akhsante.


"kichuguu mdogo wa kike" anapotential kubwa!! :)

Ni kweli Steve,

hata mimi nilipoangalia picha zao wote kweli nimekuwa na wasiwasi sana, ndiyo maana nikaona angalau niongeze na Kichuguu Mdogo wa Kike, teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!!

Kuna wasichana kama watatu au wanne hvi ninaoona angalau angalu wanajitenga kwenye kundi ingawa siyo wa kujivunia.
 
Ni kweli Steve,

hata mimi nilipoangalia picha zao wote kweli nimekuwa na wasiwasi sana, ndiyo maana nikaona angalau niongeze na Kichuguu Mdogo wa Kike, teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!!

Kuna wasichana kama watatu au wanne hvi ninaoona angalau angalu wanajitenga kwenye kundi ingawa siyo wa kujivunia.

:D...basi nawe si uwataje babuu?
 
:D...basi nawe si uwataje babuu?


Samahani sikuwataja.

Kwa muono wangu, wasichana wanaoweza kusonga mbele zaidi kulingana na wanavyoonekana kwenye picha zao ni hawa wafuatao:

1217170917_resize_of_florence_josephat.jpg

Florence Josephat

1217170410_resize_of_cecilia_george.jpg

Cecilia George

1217168115_resize_of_nasreem_karim.jpg

Nasreem Karim

1217168115_resize_of_regina_julius_1.jpg

Regina Julius


Wafuatao nao wapo karibu karibu lakini huenda hawakupozi vizuri wakati wa kupiga picha hizi:'

1217170024_pendo_laizer.jpg

Pendo Laizer (Backgorund yake siyo nzuri)

1217168115_resize_of_mariam_hajibu.jpg

Mariam Hajibu (Hakuonyesha tabasamu)

1217170917_resize_of_johari_abubakar.jpg

Johari Abubakar (Tabasamu lake limekaa vibaya)
 
Sorry guys, mimi huwa nawaona wakishachaguliwa na kuwa miss, otherwise sijaona anayemzidi mwenziwe kwa reception, tusubiri tuone talents hapo watapishana!

Ila nataka kuona huwa mtoto wa askofu atafika wapi, Angela Bravo!!!!!!
 
Jamani wapo kibao wenye mvuto sema tu hizo picha walizopiga hawajawatoa vizuri. kuna picha niliziona kwenye blog fulani hivi watoto wako bomba sana.
 
MImi binafsi naona wote hao hawana mvuto kwa hiyo Tanzania tutaendelea kuwa wasindikizaji tu.List yote hiyo hakuna mrembo mwenye mvuto hakuna kitu hapo...sijaona mtoto aliyesimama makini hapo tutaendelea kuwa KICHWA CHA WENDAWAZIMU kila mwaka tunawasindikiza wenzetu.Hakuna kitu humo bure kabisa mtakao enda mtapoteza minoti yenu ni bora mkasazidia watu wasio jiweze tu kuliko kuchangia watu hawa wa kawaida hata uzuri hawana hata sifa za kuwa warembo hakuna na hisi hawa ni best ya wabaya.Ni mtizamo tu.
 
Nimeona kitu moja ya Jolly Club na Q Bar kabisa? Huyo Pendo Laizer ni CD kabisa jamani duuuh sema suala la uchangu siyo kigezo kinachomwondoa mshiriki mashindanoni lakini nafikiri ni vyema kama washiriki wangeangaliwa kutokana na maadili yao pia.
 
Nimeona kitu moja ya Jolly Club na Q Bar kabisa? Huyo Pendo Laizer ni CD kabisa jamani duuuh sema suala la uchangu siyo kigezo kinachomwondoa mshiriki mashindanoni lakini nafikiri ni vyema kama washiriki wangeangaliwa kutokana na maadili yao pia.

Umenena vema kabisa...

Inasikitisha sana kuona kwamba kila mashindano ya Miss Tanzania wanakuwa wamejaa mabinti ambao miili yao ni vyombo vya kujiingizia kipato... Huu ni mwenendo mzima wa mashindano haya... Karibia 70% ni vyangudoa wa namna moja ama nyengine.

Ni ndio maana mwisho wa siku magazeti yanapata mengi ya kuandika. Wakimaliza hapa ni kugongana nao maeneo mbali mbali wakitumia 'Business Promotion' waliyopata bila kutumia nguvu kuiningiza vipato. Ndio kwa wengi wao Ushiriki wao katika Shindano la miss Tanzania ni njia muhimu sana ya kujitafutia masoko ya juu...
 
1217170024_pendo_laizer.jpg

Pendo Laizer

Nimeona kitu moja ya Jolly Club na Q Bar kabisa? Huyo Pendo Laizer ni CD kabisa jamani duuuh sema suala la uchangu siyo kigezo kinachomwondoa mshiriki mashindanoni lakini nafikiri ni vyema kama washiriki wangeangaliwa kutokana na maadili yao pia.

...afanailek! ...kinyamana una uhakika na unachokiongea? anyway, ...ma miss Tanzania wote waliopita inabidi na wao tuwaangalie CV zao pia wakoje, na sasa wanaifaidisha vipi jamii, isije ikawa uthibitisho wa ule msemo; "Chema chajiuza, kibaya...!"

kabla ya haya mashindano ya ulimbwende kuna kigezo cha kupimwa UKIMWI kwanza?

 
jamani...na mi namfahamu huyu Nadya Ahmed...changu kabisa nae!!itanishangaza akishinda japo uchangu haumuondolei ama kumpunguzia mshiriki vigezo!
 
Mkuu, si vyema kumtuhumu mtu kwa kitu ambacho hahusiki nacho.Nimesema Pendo Laizer ni changudoa kwasababu nimekuwa nikimuona maeneo hayo niliyoyataja kwa mingi sasa including california dreamers (CD) enzi hizo sitaki kwenda mbali kwa kusema amewahi kutaka kuniuzia inatosha tu kusema ni changudoa. Nasikia alikuwa miss higher learning institution sijaamini kusikia kama kwanza anasoma na pia kumuona akishiriki kwenye mashindano haya.Hashimu Lundenga na Lino Agency yenu naona mna kazi kubwa ya kuwashawishi wazazi wayaone mashindano haya si uhuni ili mabinti warembo na waliolelewa katika maadili waweze kushiriki bila hivyo mashindano haya yataendelea kutawaliwa na machangu doa tuu. Its pity kushuhudia haya tunayoyashuhudia katika Miss Tanzania kwakweli nafikiri ikiwezekana mashindano haya yasimamishwe ili waandae mikakati itakayoboresha mashindano yenyewe na aina ya warembo wanaoshiriki.
 
Back
Top Bottom