Nipo bwana..ahsanteee.
ndo kilichobaki kwa kweli!
upo?
Sio wote 2m wanaomfuatilia wanakubaliana na mambo yake kwa 100%, hana command kwao. Wengine tunamfutilia tupenda kuona papuchi yake. Ila hakika Wema ameruka mavi.Wewe unayo impact yoyote kwa jamii hapo ulipo..nanni anakujua nchi hii likitamka jina lako nani atakufahamu..
tanzania kuna watu zaidi ya milion 20 wnaaoutumia simu zenye uwezo wa internet...nusu yao yaani milion 10 tuseme wako katika mitandao ya kijamii yote unayoijua wewe, nusu yao yaani milion 5 wamejiunga mtandao wa kijamii unaojulikana ulimwenguni kote wa instagram...wema sepetu ana watu zaidi ya milioni 2 na ushee wanaomfuatilia katika mtandao huo. Pengine ni nusu ya wakaaz wa dar es salaam..haya mkuu niambie wewe una impact gani katika nchi hii.
...Kaona Mbali sana, na ubunge atapata tu, ccm kuweni makini sana na siasa za kuchafuana, we unafikiri hapo wangapi wataanza kuwazia chadema, mtaji wa chama kushinda ni ushawishi katika Jamii yeyote ile
Tatizo ni kwamba tunaona wengine wakilindwa! Wananunua boti kwa mabilioni ya pesa lakini kabla haijaanza kutumika inaonekana fake na hivyo ili kulinda wahusika inahamishiwa jeshini!!good riddance. ccm haihitaji watu wa unga halafu wanategemea kulindwa na chama eti kwa vile wamesaidia kampeni. ccm ya jpm haihitaji wasanii fisadi ila inahitaji wasanii kioo cha jamii. wametoka ccm edward lowassa kingunge ngombale mwiru sumaye na wale nyumbu wakubwa kina hamisi mgeja na msindai et al ndio wema sepeku? juzi tumesikia kuwadi mmoja akiongea kuhusu hela watakayopata kwa kumuuza wema chadema..shame on them.
.....wema atafungwa kwa mdomo wake na kuhamia upinzani wakati kesi mbichi,hajui kusoma alama za nyakati,angesubiri kesi ya msingi inayomkabili imalizike ndo afanye counter attack,mnaomshauri shauri yake dont say i didnt warn you