Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,721
- 19,940
.....Haya kwa heri wema wewe mtoto mzuri sana bavichwa watafaidi
.....acha wivu
.....Haya kwa heri wema wewe mtoto mzuri sana bavichwa watafaidi
Chadema = ganja republic!
....Baada ya audio zao kuvujaa ndyoo wanaongeaaa
Hakuna shida ya Wema kuhama CCM, tatizo lake alidhani akiwa CCM basi atakuwa juu ya sheria, asitegemee akiwa CCM anakuwa untouchable! Yeye asubiri kesi yake ya misokoto ya bangi iishe vzr ila akipoteza naona atarudi CCM kubembeleza.Povu tu ! Kwani kuna shida gani kwa WEMA and na hao uliowataja kukihama ccm?
Vp yule ambaye huwa anagawa pipi kwenye event zake pale nyumba kuu nae anajisomesha namba?Kweli watu wameitikia wito wa Rais wa kibana matumizi. Ingekuwa zama zile hii press confrence ingefanyika kwenye hotel ya hadhi ya nyota tano.
Sasa mtu mwenye dau la usd 200,000. Anaifanyia nyumbani na meza kuu hatuoni hata kagilasi kamaji ya kisimani.
Na washawasha!
Good riddance ....Walishapoteza mvuto na hadhi katika jamii. Waache waendelee kutapatapa.Kuwa mzuri bila ya kuwa na akili ni sawa na dereva mwenye leseni lakini ajui kuendesha gari